Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 11,047
- 15,909
Mkuu tunaweza sema ,muda wa jamaa kuamini haujafika? Hivyo aendelee tu na maisha yake kawaida?Pumzi inakudanganya
Au inategemea na mambo yenyewe ni ya namna gani?
Mkuu tunaweza sema ,muda wa jamaa kuamini haujafika? Hivyo aendelee tu na maisha yake kawaida?Pumzi inakudanganya
Kitu kama kiliumbwa perfectly kitaingiaje tamaa?kwani tamaa ndiyo inatufanya sisi kuonekana tuko imperfect
Nilipata majibu hapohapo, mfano niliumwa kitu nikaomba kwa bidii na nikapona on spot!hahaa nikikuuliza ulipataje majibu utasema ulipata ndoto/maono/ufunuo
Matatizo nos ehemu ya mwanadamu, hayana budi kuwepo!Jiulize kwanini matatizo hayaishi maishani mwako...
Kila mtu ana njia zake! Sababu ipo, wengine wanaend akinyuma na mapenzi ya Mungu! Wengine imekuwa hivyo unayowaza!Twende kwenye mada ya uzi, watu wengi sana wacha Mungu wanakufa bila kujibiwa maombi yao.
Hakuna kisingizio hapo! Nyie mnaoishi kinyume na mapenzi yake mmekatwa miguu? Mungu sio mchaguzi wa namna hiyo! The Lord is soo good! Hujataka tu kumjua! Angekuwa na mawazo kama yako huenda wengi sana wasingekuwepo! Au angechagua wake tu ndio waonje mema ya dunia!Visingizio ni vingi mara Mungu hakupi unachotaka bali unachostahili, mara mipango yake haichunguziki, sasa kwanini aliwaambia muombe naye atawapa?
Sawa.Ukifikiria unaona haya mambo ni uongo tu.
Muda wetu wa kuishi Duniani ni mdogo sana.Mkuu tunaweza sema ,muda wa jamaa kuamini haujafika? Hivyo aendelee tu na maisha yake kawaida?
Au inategemea na mambo yenyewe ni ya namna gani?
So hizi ndizo sababu za kukufanya wewe kutoamini uwepo wa Mungu na kuhubiri kila leo?Huyo Mungu angekuwa ameumba kila kitu perfectly, Anguko la mwanadamu lisingewezekana kutokea kwa sababu kila kitu kingekuwa perfectly mwanzo mwisho.
Anguko la binadamu kutokea, dhambi kuingia ni dhahiri kwamba huyo Mungu hakuumba kila kitu perfectly.
Ndio maana anguko la mwanadamu na dhambi vilitokea.
Huyo Mungu angekuwa ameumba kila kitu perfectly, mabaya yasinge kuwepo duniani. Kwa sababu kila kitu kingekuwa perfectly kabisa.
Uwepo wa mabaya unadhihirisha imperfections.
Jibu swali mkuuMuda wetu wa kuishi Duniani ni mdogo sana.
Mauti yapo karibu.
Atakwenda kujionea mwenyewe
Divine fallacy, also known as the argument from incredulity, is a logical fallacy asserting that because a phenomenon is amazing, complex, or difficult to understand, it must be caused by divine intervention or a supernatural force.unafeli wapi mzee,Mungu ndiyo muumba wa dunia na vitu viijazavyo dunia
Basi huyo mtu aliyeandika hizo hadithi ana akili sana! Maana ameandika katika nyakati za zamani ambapo mambo mengi hayakuwepo na sasa yanatimia! Hakika chunguzeni vizuri mtajua hiyo biblia ilivyo perfect kuwazidi nyinyi!Mungu hayupo.
Hakuna Mungu.
Hizo hadithi uchwara za Biblia ziliandikwa kupumbaza wajinga.
Hakuna Mungu aliyeumba chochote kile.
Binadamu hawaumbwi. Binadamu wanazaliwa.
Huyo Mungu akiaminiwa yupo, anafaidika nini?So hizi ndizo sababu za kukufanya wewe kutoamini uwepo wa Mungu na kuhubiri kila leo?
sijaelewa kwanini umelinganisha tamaa na perfect kuwa katika point of reasoning uumbajiKitu kama kiliumbwa perfectly kitaingiaje tamaa?
Divine fallacy also known as the argument from incredulity, is a logical fallacy asserting that because a phenomenon is amazing, complex, or difficult to understand, it must be caused by divine intervention or a supernatural force.Basi huyo mtu aliyeandika hizo hadithi ana akili sana! Maana ameandika katika nyakati za zamani ambapo mambo mengi hayakuwepo na sasa yanatimia! Hakika chunguzeni vizuri mtajua hiyo biblia ilivyo perfect kuwazidi nyinyi!
Matatizo hayawezi kuwa sehemu ya uanadamu kama Mungu mwenye upendo angekuwepo mkuu.Nilipata majibu hapohapo, mfano niliumwa kitu nikaomba kwa bidii na nikapoma on spot!
Matatizo nos ehemu ya mwanadamu, hayana budi kuwepo!
Kila mtu ana njia zake! Sababu ipo, wengine wanaend akinyuma na mapenzi ya Mungu! Wengine imekuwa hivyo unayowaza!
Hakuna kisingizio hapo! Nyie mnaoishi kinyume na mapenzi yake mmekatwa miguu? Mungu sio mchaguzi wa namna hiyo! The Lord is soo good! Hujataka tu kumjua! Angekuwa na mawazo kama yako huenda wengi sana wasingekuwepo! Au angechagua wake tu ndio waonje mema ya dunia!
Sawa.
Kuna Mungu wengi sana kulingana na imani mbalimbali za watu. Unathibitisha vipi huyo Yesu wako ni Mungu wa wote, wakati kuna Mungu Allah, Krishna, Zeus n.k.sijaelewa kwanini umelinganisha tamaa na perfect kuwa katika point of reasoning uumbaji
Mungu anasema alimtoa mwanae wa peke katika mwili wa kibanadamu ndiyo mwanae mpendwa ambae ni yesu,alikuja dunia kwa matakwa ya kuukomboa ulimwengu,kumbuka yesu alikua ni Mungu mtu,Mungu alimfanya awe sehemu yetu wanadamu yani kila kitu kama sisi ana hasira kama alivyochukizwa na watu waliofanya biashara hekaluni,anaumia hile mijeredi ilimumiza mbaya kabisa,ana hisia pia kama sisi kipindi cha mateso yesu alilia mpaka machozi ya damu akiomba kikombe hicho kimpite lakini ni Mungu mwana sasa uweje useme kuumbwa ni lazima kuwe na u perfect?
Mzazi wako usipomuheshimu anapoteza nini? Ukimuheshimu anafaidika nini?Huyo Mungu akiaminiwa yupo, anafaidika nini?
Huyo Mungu asipoaminiwa yupo, anapungukiwa nini?
Huyo Mungu yupo so insecure hadi anahitaji kuaminiwa?
kama ni mbobezi kwenye kufanya scientific research utanielewa kwanini na jadilu with reference to back up my point,you can't term that as a divine fallacyDivine fallacy, also known as the argument from incredulity, is a logical fallacy asserting that because a phenomenon is amazing, complex, or difficult to understand, it must be caused by divine intervention or a supernatural force.
It assumes personal lack of understanding equals a divine explanation.
Source: Effectiviology The Divine Fallacy: When People Assume that God Must Be the Explanation – Effectiviology
Hawapati shida yoyote wala faida yoyote.Mzazi wako usipomuheshimu anapoteza nini? Ukimuheshimu anafaidika nini?
Mke wako usipomuamini au ukilala nje anapungukiwa nini? Ukiwa na michepuko anapata shida gani?
Kusudi la Mungu kumuumba binadamu halikuwa hili! Aliumbwa ili maisha yawe ya kusifu na kuabudu tu, hakukuwa na mipango ya kuishi maisha yamateso ndio maana lilipotolea anguko la mwanadamu, alisema duniani mnayo dhiki jipeni moyo, usijali baada ya msababishi mkuu,muovu ibilisi hukumu itatoka na tutaishi hayo maisha unayotaka tuishi! Kuwa na subira bado kitambo kidogo!Matatizo hayawezi kuwa sehemu ya uanadamu kama Mungu mwenye upendo angekuwepo mkuu.
Swali la msingi:
Tunafundishwa Mungu aliumba wanadamu ili wamtukuze. Sasa kwanini aliamua kuwaweka kwenye mateso ya dunia? Angekaa nao huko mbinguni bila kuumba dunia si wangemtukuza huko?
Kuna Mungu wengi sana kulingana na imani mbalimbali za watu. Unathibitisha vipi huyo Yesu wako ni Mungu wa wote, wakati kuna Mungu Allah, Krishna, Zeus n.k.
Huoni kwamba unatetea tu, hadithi za Biblia yako ulioaminishwa na kukaririshwa?
Mungu wetu anapenda sifa! Anapenda kuabudiwa na kusujudiwa! Lazima tutii maagizo! Lazima tukubali kuwa chini ya uwepo wake! Hatuwezi kujikweza na kujihesabia haki kama unavyotaka wewe!Hawapati shida yoyote wala faida yoyote.
Sasa huyo Mungu mnayekazana kumwabudu na kumwamini, yeye anapata nini?
Wewe unaleta hadithi za Biblia halafu unasema ndio reference!kama ni mbobezi kwenye kufanya scientific research utanielewa kwanini na jadilu with reference to back up my point,you can't term that as a divine fallacy