God's time is a myth, The strategy of redundancy

God's time is a myth, The strategy of redundancy

Free will exists, but to choose what is right or wrong lol not in that term..
If you are free to choose right or wrong, Kwa nini huyo Mungu anapenda kufanyiwa mema tu?

Kwa nini huyo Mungu hapendi watu wafanye mabaya?

Kama huyo Mungu hapendi mabaya yafanyike, Kwa nini aliweka hiyo "free will" ya mtu kuweza kutenda mabaya?

Kama huyo Mungu anapenda mema tu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu, watakao tenda mema siku zote na wakati wote?
 
Ni kama wewe umeumbwa lakini unaamua kukashfu! Everything is possible and anything can happen!
Mimi sijaumbwa.

Mimi nimezaliwa.

Mama yangu alinizaa.

Hakuna Mungu aliyeniumba.

Nakuuliza hivi,👇

Kitu kilichoumbwa perfect kitaingiaje tamaa?

Kama kitu kinaweza kuingia tamaa huoni kwamba kiliumbwa imperfect?
 
If you are free to choose right or wrong, Kwa nini huyo Mungu anapenda kufanyiwa mema tu?

Kwa nini huyo Mungu hapendi watu wafanye mabaya?

Kama huyo Mungu hapendi mabaya yafanyike, Kwa nini aliweka hiyo "free will" ya mtu kuweza kutenda mabaya?

Kama huyo Mungu anapenda mema tu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu, watakao tenda mema siku zote na wakati wote?
Mungu aliumba kila kitu perfectly kama unavyowaza! Anguko la mwanadamu ndio hiyo dhambi ya asili, nimekuelezea kila kitu kilivurugika wapi

Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu! Wanaofanya mambo kinyume na mapenzi yake lazima watalipwa kwa mabaya yao! Mungu aliweka nafasi za kutubu akijua hakuna mkamilifu mbele zake! Ndio maana kuna kuomba rehema na ukaendelea kuishi kwa kumtegemea yeye!
 
Mimi sijaumbwa.

Mimi nimezaliwa.

Mama yangu alinizaa.

Hakuna Mungu aliyeniumba.

Nakuuliza hivi,👇

Kitu kilichoumbwa perfect kitaingiaje tamaa?

Kama kitu kinaweza kuingia tamaa huoni kwamba kiliumbwa imperfect?
Umejuaje mama yako alikuzaa? Umesoma au umeona? Umesimliwa au kwa sababu umeshuhudia wengine wamezaliwa na mama zao?

Acha kutumia logic kwenye mambo ya imani, usilinganishe theology na philosophy!
 
You just can't prove it!
The universe exists and it's where you live.

The universe operates by itself. The sun rises, The sun sets, Living organisms reproduce by themselves. And you can even see by yourself.

Which proof do you want to agree that the universe operates by itself?
While you can even see by yourself.
 
Umejuaje mama yako alikuzaa?
Wanawake huzaa watoto.

Hii ni fact.

Na mimi Mama yangu ni mwanamke alinizaa.
Umesoma au umeona? Umesimliwa au kwa sababu umeshuhudia wengine wamezaliwa na mama zao?
Nimeona watoto wakizaliwa.

Nimeona wa mama wakizaa.

Sijawahi kuona Mungu akiumba Binadamu.
Acha kutumia logic kwenye mambo ya imani, usilinganishe theology na philosophy!
Binadamu wanazaliwa na hiyo ni Fact.
 
Mimi sijaumbwa.

Mimi nimezaliwa.

Mama yangu alinizaa.

Hakuna Mungu aliyeniumba.

Nakuuliza hivi,👇

Kitu kilichoumbwa perfect kitaingiaje tamaa?

Kama kitu kinaweza kuingia tamaa huoni kwamba kiliumbwa imperfect?
Mungu alikuumba boss maana neno lake linasema nalikujua tangu upo tumboni mwa mama yako kwahiyo uumbaji wako Mungu aliujua ,pia kuna neno linasema nilikumba kwa mfano wangu yani wewe ni mfano wa Mungu
 
Iliniponya,ilizungumza ndani yangu! Niliomba ikanijibu! Kila nilichoomba ilinipa majibu! Nikiamuru kitu inaitika!
hahaa nikikuuliza ulipataje majibu utasema ulipata ndoto/maono/ufunuo

Jiulize kwanini matatizo hayaishi maishani mwako...

Twende kwenye mada ya uzi, watu wengi sana wacha Mungu wanakufa bila kujibiwa maombi yao.

Visingizio ni vingi mara Mungu hakupi unachotaka bali unachostahili, mara mipango yake haichunguziki, sasa kwanini aliwaambia muombe naye atawapa?

Ukifikiria unaona haya mambo ni uongo tu.
 
Mungu aliumba kila kitu perfectly kama unavyowaza! Anguko la mwanadamu ndio hiyo dhambi ya asili, nimekuelezea kila kitu kilivurugika wapi
Huyo Mungu angekuwa ameumba kila kitu perfectly, Anguko la mwanadamu lisingewezekana kutokea kwa sababu kila kitu kingekuwa perfectly mwanzo mwisho.

Anguko la binadamu kutokea, dhambi kuingia ni dhahiri kwamba huyo Mungu hakuumba kila kitu perfectly.

Ndio maana anguko la mwanadamu na dhambi vilitokea.
Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu! Wanaofanya mambo kinyume na mapenzi yake lazima watalipwa kwa mabaya yao! Mungu aliweka nafasi za kutubu akijua hakuna mkamilifu mbele zake! Ndio maana kuna kuomba rehema na ukaendelea kuishi kwa kumtegemea yeye!
Huyo Mungu angekuwa ameumba kila kitu perfectly, mabaya yasinge kuwepo duniani. Kwa sababu kila kitu kingekuwa perfectly kabisa.

Uwepo wa mabaya unadhihirisha imperfections.
 
Mungu alikuumba boss maana neno lake linasema nalikujua tangu upo tumboni mwa mama yako kwahiyo uumbaji wako Mungu aliujua ,pia kuna neno linasema nilikumba kwa mfano wangu yani wewe ni mfano wa Mungu
Mungu hayupo.

Hakuna Mungu.

Hizo hadithi uchwara za Biblia ziliandikwa kupumbaza wajinga.

Hakuna Mungu aliyeumba chochote kile.

Binadamu hawaumbwi. Binadamu wanazaliwa.
 
Back
Top Bottom