Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,821
wee beberu hebu acha kukufuru, wee hujui watoto hutengenezwa kitandani?Familia hii wanafanana kama watengenzwa.
Ni kweli mkuu. RIP my favourite!Nasikia jamaa alishafariki.!!
halafu ukweli mbaya zaidi amekufa masikini wakati wachumia tumbo wametajirika kupitia kipaji chake.Ni kweli mkuu. RIP my favourite!
halafu ukweli mbaya zaidi amekufa masikini wakati wachumia tumbo wametajirika kupitia kipaji chake.
hahahah na wee umekuwa king'amuzinafikiri hiyo heading neno linatakiwa kuwa gods na sio gods after all hakuna gods bali ni god, pia god never be crazy!
Hata nikiiangalia million times haijawahi nichosha.... Ghoshhhh
hivi ni kwa nini ... must be crazy?!