Godoro safi la kulalia

Godoro safi la kulalia

ellie24

New Member
Joined
May 21, 2016
Posts
4
Reaction score
4
Habari wanajamii,
Jamani naulizia ni godoro la aina gan ambalo ni zuri sana (OG) na bei zake na yanapatikana wap kwa ajili ya watu wazima hasa wa wazee. Mama yangu anakuja mjini kutibiwa nahitaji kununua godoro zuri kwa ajili yake.. Naomba mapendekezo tafadhari lakin wandugu.
 
Habari wanajamii,
Jamani naulizia ni godoro la aina gan ambalo ni zuri sana (OG) na bei zake na yanapatikana wap kwa ajili ya watu wazima hasa wa wazee. Mama yangu anakuja mjini kutibiwa nahitaji kununua godoro zuri kwa ajili yake.. Naomba mapendekezo tafadhari lakin wandugu.
1.TAN FOAM - Sijui bei kwa mkoa uliopo ila ndo godoro bora zaidi lina hali zote kipindi cha baridi ni kama lina tengeneza kajoto joto, na kipindi cha joto hutengeneza kabaridi fulani hivi. Hakika ni godoro la kipekee. BEI YAKE IMECHANGAMKA
2. GODORO DODOMA ( QUALITY FOAM) ni zuri halibonyei hovyo lina kushawishi kulala na ulalapo hupata usingizi mororoooo

3. BANCO hili nalo ni bora .
 
Nilinunua GSM nilijuta miezi 10 tu lishaweka shimo katikati..
Nasubiri mawazo yenu wadau, kuna muuza magodoro ana nishaur Arusha delux ni zuri kuliko hata QFL na Vitafoam
Kabla sijalichukua ni badilishe
 
Nilinunua GSM nilijuta miezi 10 tu lishaweka shimo katikati..
Nasubiri mawazo yenu wadau, kuna muuza magodoro ana nishaur Arusha delux ni zuri kuliko hata QFL na Vitafoam
Kabla sijalichukua ni badilishe
Huyo ni muuzaji watumiaji tunasema QFL MAGODORO DODOMA
 
1.TAN FOAM - Sijui bei kwa mkoa uliopo ila ndo godoro bora zaidi lina hali zote kipindi cha baridi ni kama lina tengeneza kajoto joto, na kipindi cha joto hutengeneza kabaridi fulani hivi. Hakika ni godoro la kipekee. BEI YAKE IMECHANGAMKA
2. GODORO DODOMA ( QUALITY FOAM) ni zuri halibonyei hovyo lina kushawishi kulala na ulalapo hupata usingizi mororoooo

3. BANCO hili nalo ni bora .
Umeifunga mada!
Hakuna jibu sahihi kwa yeyote atakayepingana na wewe.
 
Ekeni na bei basi, nami nataka nihame kwetu.
 
Habari wanajamii,
Jamani naulizia ni godoro la aina gan ambalo ni zuri sana (OG) na bei zake na yanapatikana wap kwa ajili ya watu wazima hasa wa wazee. Mama yangu anakuja mjini kutibiwa nahitaji kununua godoro zuri kwa ajili yake.. Naomba mapendekezo tafadhari lakin wandugu.
Godoro lolote ni zuri ila kwa kudumu unachotakiwa ni kujua uzito wako na lenyewe liwe na density gani hilo ndio la msingi hata hao Tanform kuna yenye density ndogo yanabonyea katikati cha muhimu uzito bro.
 
Back
Top Bottom