Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,617
- 39,974
Akiuliza swali kwa Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa, mwandishi wa ITV Godfrey Monyo amehoji mpango wa serikali kuwafidia waliopotelewa Mali zao.
Kitendo cha kutogusia waliopoteza maisha kutokana na Uzembe wa vyombo vya Dola kunatujengea picha kwamba walio upande wa serikali hawathamini Uhai wa Watanzania uliopotea tena wengine wakiwa Majumbani kwao kama ilivyotokea kwa Mtangazaji wa Clouds Master Tindwa.
Kitendo cha kutogusia waliopoteza maisha kutokana na Uzembe wa vyombo vya Dola kunatujengea picha kwamba walio upande wa serikali hawathamini Uhai wa Watanzania uliopotea tena wengine wakiwa Majumbani kwao kama ilivyotokea kwa Mtangazaji wa Clouds Master Tindwa.