Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,229
- 4,715
kuliko wewe na wapuuz wenzio huko kwenye majiz ya kura.Yule dogo wa kimachame mshamba sana
kuliko wewe na wapuuz wenzio huko kwenye majiz ya kura.Yule dogo wa kimachame mshamba sana
Mpiga ramli kwa waganga tu,hana issue.Lema Ni Nani?
Alimwambia Magufuli asipoacha Mambo yake ya hovyo hakika Atakufa na akafa, alimwambia Sabaya aache Mambo yake ya hovyo siku akiwa katika mkono wa Dola Magufuli sio Mungu batakua hayupo! Na yote yametokea na tumeona Sasa leo unauliza Lema Ni Nani amewambia boda Boda Ni kazi ya Laana with facts mmetoka mashimoni Kama panya still unauliza Ni Nani? Mmesahau Lema alisema Bungeni kuwa ameota ******** amekufa kwani hakufa kweli endelea kuuliza hii sakos ya Geodavie ambaye amewekeza samunge na wote wataenda kusali kwaeke na mapato watakyopeleka Kama sadaka hata halmashauri haiwezi kukusanya (fursa) kwenye dhiki penyeza rupia
WahuniKwa nini wanasiasa wa vyama vingine Nje ya chama kinachoogoza serikali hawataki kuitwa wanasiasa wa vyama shindani?? Wanapenda kujiita wanasiasa wa vyama vya upinzani?
Kujiita mwanasiasa wa upinzani inaondoa maana nzima ya nia ya kutwaa madaraka ya kuongoza nchi. Upinzani ni neno linaloambatana na mtazamo hasi sana mbele ya umma. Jitangazeni ni wanasiasa shindani hii itawaondolea uhasi utokanao na kujiita wanasiasa wa upinzani!!
Ni mtazamo wangu tu! Waweza kuuchukua ama kuupiga chini kwa povu ama bila povu. Asante.
Umevuta bangi ni mbaya sanaKwani hiyo ccm iliyokutapeli toka uhuru na unazidi kuikumbatia imeshindwa kujenga stendi za kisiasa, uwanja wa ndege wa kimataifa na kutatua changamoto zenu? Kama inakusanya Kodi toka uhuru na imeshindwa, kwa nini umlaumu Lema? Au ndo kuwa na akili ndogo kunakusumbua?
Duh unamwamini huyo nabii hapo Arusha?! Kweli kuna watu wapo gizani.Hapo vip!!
Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.
.
This is super nonsense...Hapo vip!!
Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.
Na mimi niwasihi watu wa Arusha wafikiri nje ya box, wampuze huyu tapeli asiyekuwa na uchungu na changamoto za watu wa Arusha.
Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimojo alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.
Mji wa Arusha unaendelea kudumaa kwasababu ya siasa za kiharakati zinazofanywa na Lema.
Lemo hana uchungu wala nia njema ya kuwa chachu ya maendeleo Arusha, kwasababu mji huu ingepata kiongozi mzalendo leo tungekuwa na stand mpya siku nyingi, tungekuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, masoko ya kisasa, hosp zenye viwango bora kabisa nitaje tu hivyo vichache.
Lema haoni sababu ya kuisemea Arusha katika mambo mengi kwasbabu sio mzalendo wa Arusha ila anatumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi. Nadhani pia kwasababu sio mtu wa Arusha. Labda ingekuwa ni mbunge wa machame huko kwao angefanya vizuri.
Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.
Alafu anamshambulia mtumishi wa Mungu utadhani yeye anamlaka hapo Arusha ya kumzuia mtu yeyote asifanye jambo. Hapa kuna tatizo la elimu pia.
Kiongozi bora na mwenye akili ni mwenye uwezo wa kuja na mpango mkakati wa kuwezesha boda boda wachane na kazi ya bodo na kufanya kazi iliyobora kuliko hiyo kutoka na wazo au plan ya huyo kiongozi..
Yeye emetoka huko canada, utafikiri yeye ndio mtanzania wa kwanza kuishi huko alafu anakuja kutukana boda bodo, hapa umekosea sana, ungetakiwa ushauri kazi nyingine ya kufanya na sio kuwadharirisha kwa namna ulivyofanya, we mwenyewe ulikuwa mtu shida sana, tunakujua ulivyopata ubunge ndio umebadilisha maisha.
Geodevi ameweza kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi akakushinda wewe uliyepewa ubunge kwa miaka 15, nadhani huo ubunge ulikuwa kwa ajili yako na familia yako.
Mama amesha tufundisha Kiswahili vizuri.Kwa nini wanasiasa wa vyama vingine Nje ya chama kinachoogoza serikali hawataki kuitwa wanasiasa wa vyama shindani?...
Huyo Lema ndo yukoje mana nasikia anaongelea humu ndani kutwa kucha.Hapo vip!!
Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake...
Binafsi sijawahi hata kufika kwenye kanisa la Geordevi..wala sijui lipo wapi.Wanaomtetea GD EBU kwanza wawapeleke wake zao wakavuuliwe nguo na kupewa milioni ndio waje hapa kumponda Lema.
Kwani anawakamata mikono si wanakubaliana, na kama akili wanayo wamepewa.kosa kubwa la mchungaji wenu kulala na wake za watu tema wa ndoa kabisa! Mungu atamuonyesha kazi huyo mwanaume
Jifanye unamuachia Mungu alafu wewe na yeye wote mtajikuta kwenye gadhabu ya Mungu mwenyewe uliomtaja!Binafsi sijawahi hata kufika kwenye kanisa la Geordevi..wala sijui lipo wap.
Nasikia aga tu kisongo..ila penye kunyoosha pito lazima tunyooshe..kuhusiana na mara nabii wa uwongo hilo namuachia Mungu(Jehova)
Mungu hana akili kama yakwako na awazi kama wewe, wewe ni nani mpaka uwe na mamlaka ya kuhukumu binadamu..kama sio unatumia mapenzi yako na Lema kuja kutia tia huruma hapa..we umekamilika au mtakatifu...shame upon you idiot.Jifanye unamuachia Mungu alafu wewe na yeye wote mtajikuta kwenye gadhabu ya Mungu mwenyewe uliomtaja!
Ndugu Tajiri Tanzanite,Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimojo alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.
Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.