Godbless Lema: Tanzania kazi ya Bunge ni kusimamiwa na Serikali hivi ndivyo wananchi wanapaswa kuelewa

Kwa hiyo bunge ndio maraisi wa nchi na raisi ndio mbunge? Kama ndilo linasimamia serikali lina uwezo wa kuajiri na kufukuza au kushusha au kupandisha cheo afisa wa serikali?
Likitumia mamlaka yake sawasawa, Sizonje angekuwa mtaanI zamani sana
 
Back
Top Bottom