Sana kilo 15 za tanzanite kwenye mnada angepata angalau billioni 150.Kwa vipi ni dhuruma?
Sana kilo 15 za tanzanite kwenye mnada angepata angalau billioni 150.Kwa vipi ni dhuruma?
Haya ndio mawazo mgando.Mhusika hajalalamika ila yasiyowahusu wanavyomganda sasa
HayaKwako wewe ni udaku kwa wenye akili timamu ni ukweli
Serikali imewekeza kwenye nini?Biashara ni makubaliano, BOT/Serikali wamewekeza mtaji wao lazima faida itapatikana ili hii nchi ifaidike kuendelea kuleta maendeleo yenye tija kwa Watanzania.
BTW Lema amekuwa mtaalam wa madini, mbona hakusema bei yake basi tufahamu na kutueleza hiyo bei ni pungufu kwa kiasi gani? Ndio majungu yenyewe na Propaganda hizo.
Huenda kuna ukweli. tusubiri muda utasema maana hesabu hazidanganyi
Lema kama una uwezo kainunuea sasa wewe kutoka serikalini kwa hizo billion 70
Unampangia muuzaji?hata mie niliwaza hili kabla kuwa kwanini hayakuuzwa kwa mnada?
Mhusika hajalalamika ila yasiyowahusu wanavyomganda sasa
Biashara ni makubaliano, BOT/Serikali wamewekeza mtaji wao lazima faida itapatikana ili hii nchi ifaidike kuendelea kuleta maendeleo yenye tija kwa Watanzania.
BTW Lema amekuwa mtaalam wa madini, mbona hakusema bei yake basi tufahamu na kutueleza hiyo bei ni pungufu kwa kiasi gani? Ndio majungu yenyewe na Propaganda hizo.
Kachimbeni nyie ya kwenu ili muuze kwa bilion 150,Sana kilo 15 za tanzanite kwenye mnada angepata angalau billioni 150.
MTU yuko huru kuuza bei yeyote anayopenda angeweza kuuza hata kwa laki moja ni madini yake
Huyo mwuzaji alishafuatwa sana auziwe zaidi ya hiyo pesa,nadhani jamaa aliangalia zaidi usalama,kwamba hela serikali ina usalama zaidi,maana watu binafsi au makapuni unaweza kutapeliwa pia
Niliwahi kusema hizi siasa za kudandia dandia kila hoja hazina mashiko hizi lakini bado hawaelewi.Lema amekuwa kwenye biashara ya madini muda mrefu, hasa hayo madini vya Tanzanite, hivyo ana ufahamu wa kutosha kuhusu biashara hiyo ya madini. Sio lazima alichokisema kiwe kweli, lakini ana ufahamu wa kuridhisha wa biashara hiyo. Kama ni kutaja kiasi, amesema ingeweza kulipwa mara kumi zaidi ya alicholipwa.
watanzania maskini utawajua tu kuuza auze yeye halafu mwingine akomalie oohh angeuza sijui bei gani pambaneni na hali zenu muondokane na umaskini .Kujadili mambo ya mabilionea hakuwasaidii kupunguza ulofa mlionaoUko sahihi, je hakuna shinikizo lolote toka serikalini la yeye kuuza bei aliyouza?
Nishaelewa wanataka wamshawishi ajiunge Chadema ili wapige hizo hela kwa kupitia michongo akiwa kama mwanachama hizi ni harakati za kumnasa huyo jamaa tayari weshaona fursa hiyo.