Godbless Lema: Pesa aliyolipwa Bilionea Laizer ni pungufu sana, ungefanyika mnada angelipata karibia mara kumi ya alicholipwa

Hapo sasa umejibu lipi kati ya niliyouliza?Wewe ni mhusika/mlengwa wa mambo niliyotaka kueleweshwa.Hoja ijibiwe kwa hoja na kama huna la kuelezea acha kudandia yasiyokuhusu.
Take Care.
Sis wote hayatuhusi, ila kuelimishana ni muhimu. Tatizo wengi huwa mnachangia kwa mihemko ya siasa bila ya kujua uhalisia wa jambo husika.
Ngoja nikupe shule kijana: Madini ya vito ni tofaiti na madini ya aina kama dhahabu. Vito hayahitaji chemical ndio yawe safi ilinyauzwe. Yenyewe ukiyapata ni kulisafisha tu na kwenda nalo sokoni. Madini ya vito ni kama Lulu ambayo yanapatikana baharini, rubi, Tanzanite, diamond, n.k.
Thamani ya madini haya ipo kwenye
1. clarity yaani usafi wake kutokana na impurities, kuna chemical ambazo zinasababisha gem isiwe safi kimuonekano hivyo kupunguza thamani yake.
2. rarity, upatikanaji wake na hata ukubwa wake.
3. color, rangi ni kitu kimoja cha muhimu sana katika gem maana inaweza kutofautisha jiwe moja na lingine. mfano ina variation, ikiwa nyekundu ni rubi ila ikiwa blue inakuwa sapphire, hivyo tanzanite yenye dark color inaweza kuwa na thamani tofauti na yenye light color, mfano dark blue na light blue. Usukumani, msichana mweupe ana thamani zaidi ya mweusi lakini wote ni wasichana.
4. Defect, yaani uharibifu ndani ya gem yenyewe. Kama itakuwa imegongwa wakati wa kulipua au namna yoyote ile na kuweka crack ndani basi ujue thamani upungua vilevile, ni sawasawa na kuoa bikra au msichana aliyezalishwa.
Factors za bei za tanzanite na gem nyingine ni nyingi sana, inatosha kukupa hizo.
So, narudia, kama vitu hatujui si vibaya kuuliza kuliko kukomenti ujinga au kuendeshwa na wanasiasa.
Ajabu sana, mwenyewe amekubari lkn mtu asiyekuwepo tena hajawai kufanya hizo biashara anakuwa kimbelembele km anajua.
 
Mimi sioni tatizo kuuzia serikali, pili naamini huyo Laizer ameridhia, hizi kelele hazisaidii kitu

Maajabu. Anazungumzia muda na gharama anazotumia mchimbaji, vitu visivyohusiana kabisa kwenye industry ya vito.

Unaweza kuta muda na gharama alizotumia huyo aliyepata hizo kilo ni chini kulinganisha na wanaotoka na mawe ya gram kadhaa tu.
 
Serikali imeanza lini kununua Tanzanite?Madini gani mengine wamenunua tangia waingie madarakani?Faida kiasi gani Tanzania imepata hadi sasa?
Serikali inafanya biashara?CAG anakagua hayo manunuzi?
Serikali inafanya biashara ya madini toka kitambo, nna ndio maana ina kampuni au taasisi yake ya kuchimba madini inaitwa STAMICO. So unafikiri stamico wakipata dhahabu wanapeleka wapi? na kukupa faida tu, hata mererani stamico wapo wakishirikiana na kampuni ya tanzanite one. Kampuni ya Twiga ni muunganiko wa serikali na barrick baada ya acacia, wapo kwenye migodi ya north mara na buli. Miaka ya nyuma kulikuwa na kitengo cha kununua na kutunza madini pale banki kuu ila kilihujumiwa kuna kipindi so Jiwe kaingia na kukifufua na kuanza tena kazi.
So asikudanganye mtu kuwa serikali haifanyi biashara, kuna sector na sector ila kwenye madini ipo. Hivi unafikiri yale yanayo taifishwa yanaenda wapi? bank kuu mkuu, na yakizidi au wanaona kuna faida wanauza na nchi kupata mapato. CAG ana kagua na yakiuzwa ana kagua vile vile thamani yake kama yalifikiwa.
Tujifunze kufikiri nje ya box wakuu. Tusipende kufikirishwa na wana siasa hata akiwa rais. Akiri za kuambiwa, changanya na za kwako.
 
Pesa iliyo lipwa kwa madini ya Tanzanite kilo 9.27 na kilo 5.8 iliyo ungana ni pesa kidogo sana, kelele na mbwembwe zitapata sifa kwa wasio elewa. Haya madini ya ukubwa huu kwa biashara ya kimkakati (Auction), yanaweza kulipwa pesa mara 10 ya hizi.

Ukitafakarimuda/gharama za uchimbaji zaweza kuwa nusu au thamani ya pesa anayo lipwa, Mh Dotto nachunguza hizi kelele zina maana gani?Uzalendo kwa sasa pelekeni hayo mawe mnadani jueni thamani kisha mpeni thamani halisi ya ushindani, halafu Serikali iyatumie kwa maonyesho.

Unique pieces kama hizi zilipaswa kushutua kwa bei, kwani thamani yake haipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree wala PHD isipokuwa Wall Street thinking, nani ataona value ya Tanzanite tena? Biashara sio kelele ni strategy.

Unique pieces kama hizi bei zake hazipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree /PHD isipokuwa Wall Street thinking. Nani ataona thamani ya Tanzanite kwa kilo 9.27/ 5.28 kuuzwa sawa na saa ya Mike Tyson? na mnunuzi ni Serikali?

Kwa kukosa uelewa mmeshusha thamani ya Tanzanite kwa hali ya juu sana, piece ya kilo 9.27 na 5.28 ni unique pieces ambazo kwa bei mnayo pigia kelele sio zaidi ya USD 3.5 milioni. Najiuliza sasa ni pieces gani nyingine zitapata thamani kuonyesha upekee wa madini haya?
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe. Mwenyewe kesharidhia chokochoko ya nini?
 
Maajabu. Anazungumzia muda na gharama anazotumia mchimbaji, vitu visivyohusiana kabisa kwenye industry ya vito.

Unaweza kuta muda na gharama alizotumia huyo aliyepata hizo kilo ni chini kulinganisha na wanaotoka na mawe ya gram kadhaa tu.
wanao zungumzia muda akili zao hazipo sawa, wanafikiri kwa ubongo wa Lema.
Hivi angetumia chini ya mwaka wangesema apunguze bei? Katika factors zinazo govern soko la gem, muda uliotumia haupo. Halafu, wasifikiri kwamba ndani ya miaka hiyo yote tisa kwamba jamaa alikuwa hapati, wanapata ila si nyingi kama hivyo.
Vijana mihemko ina wasumbua.
Natamani kuona vijana wakiwa wanaweza kufikiri bila ya akili za wana siasa maana wanaharibika na kujijenga chuki za bure juu ya watu wengine wanao tofautiana nao kimtazamo.
 
Pesa iliyo lipwa kwa madini ya Tanzanite kilo 9.27 na kilo 5.8 iliyo ungana ni pesa kidogo sana, kelele na mbwembwe zitapata sifa kwa wasio elewa. Haya madini ya ukubwa huu kwa biashara ya kimkakati (Auction), yanaweza kulipwa pesa mara 10 ya hizi.

Ukitafakarimuda/gharama za uchimbaji zaweza kuwa nusu au thamani ya pesa anayo lipwa, Mh Dotto nachunguza hizi kelele zina maana gani?Uzalendo kwa sasa pelekeni hayo mawe mnadani jueni thamani kisha mpeni thamani halisi ya ushindani, halafu Serikali iyatumie kwa maonyesho.

Unique pieces kama hizi zilipaswa kushutua kwa bei, kwani thamani yake haipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree wala PHD isipokuwa Wall Street thinking, nani ataona value ya Tanzanite tena? Biashara sio kelele ni strategy.

Unique pieces kama hizi bei zake hazipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree /PHD isipokuwa Wall Street thinking. Nani ataona thamani ya Tanzanite kwa kilo 9.27/ 5.28 kuuzwa sawa na saa ya Mike Tyson? na mnunuzi ni Serikali?

Kwa kukosa uelewa mmeshusha thamani ya Tanzanite kwa hali ya juu sana, piece ya kilo 9.27 na 5.28 ni unique pieces ambazo kwa bei mnayo pigia kelele sio zaidi ya USD 3.5 milioni. Najiuliza sasa ni pieces gani nyingine zitapata thamani kuonyesha upekee wa madini haya?
Lema achana na mawe ya Laizer na bei yake. Siku wewe ukipata yako hakikisha unayafanyia "auction" kwa kutumia "Wall Street Thinking".
 
Wakiwemo Gavana wa BoT,Waziri wa Madini,Mzee Baba mwenyewe,Mbunge nk.ni kati ya wanamganda na wanampango/wameshamaliza kumpora kama alivyobainisha Mh.Lema.
Inamaanisha?
Mwizi siku zote anaona anaibiwa bei ya madini sio sawa na bei ya magari ya wizi kuna vigezo vingi vinatumika kwanza hakuna anyejua kama yale mawe yana nyufa kiasi gani
 
Huyo mwuzaji alishafuatwa sana auziwe zaidi ya hiyo pesa,nadhani jamaa aliangalia zaidi usalama,kwamba hela serikali ina usalama zaidi,maana watu binafsi au makapuni unaweza kutapeliwa pia
Ndugu yangu sio kutapeliwa tu hata kuuwawa huku Arusha wengi tu wameuwawa. Najua wapo wanaosikitika kukosa hii dili ndio hao wanaopiga kelele
 
Ndugu yangu sio kutapeliwa tu hata kuuwawa huku Arusha wengi tu wameuwawa. Najua wapo wanaosikitika kukosa hii dili ndio hao wanaopiga kelele
Acheni dhuluma ninyi..mlipeni kadri ya thaman ya mzigo ulioko mezani..hbr za kuuawa ni vitisho tu
 
Pesa iliyo lipwa kwa madini ya Tanzanite kilo 9.27 na kilo 5.8 iliyo ungana ni pesa kidogo sana, kelele na mbwembwe zitapata sifa kwa wasio elewa. Haya madini ya ukubwa huu kwa biashara ya kimkakati (Auction), yanaweza kulipwa pesa mara 10 ya hizi.

Ukitafakarimuda/gharama za uchimbaji zaweza kuwa nusu au thamani ya pesa anayo lipwa, Mh Dotto nachunguza hizi kelele zina maana gani?Uzalendo kwa sasa pelekeni hayo mawe mnadani jueni thamani kisha mpeni thamani halisi ya ushindani, halafu Serikali iyatumie kwa maonyesho.

Unique pieces kama hizi zilipaswa kushutua kwa bei, kwani thamani yake haipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree wala PHD isipokuwa Wall Street thinking, nani ataona value ya Tanzanite tena? Biashara sio kelele ni strategy.

Unique pieces kama hizi bei zake hazipangwi kwa gramu isipokuwa upekee. Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji Degree /PHD isipokuwa Wall Street thinking. Nani ataona thamani ya Tanzanite kwa kilo 9.27/ 5.28 kuuzwa sawa na saa ya Mike Tyson? na mnunuzi ni Serikali?

Kwa kukosa uelewa mmeshusha thamani ya Tanzanite kwa hali ya juu sana, piece ya kilo 9.27 na 5.28 ni unique pieces ambazo kwa bei mnayo pigia kelele sio zaidi ya USD 3.5 milioni. Najiuliza sasa ni pieces gani nyingine zitapata thamani kuonyesha upekee wa madini haya?
Biashara ni makubaliano, kama muuzaji amekubali kuuza kwa bei hiyo ni maamuzi yake. Na serikali kama mnunuzi ikiamua kuyaingiza sokoni yanaweza kufika bei hiyo ya mara 10 kama inavyodhaniwa. Hivyo naamini hayo mawe hayaja shuka thamani yake .
 
Back
Top Bottom