Godbless Lema: Pesa aliyolipwa Bilionea Laizer ni pungufu sana, ungefanyika mnada angelipata karibia mara kumi ya alicholipwa

Ameporwa Mong'o wa watu,ndiyo maana serikali ikahamia huko haraka haraka.Pia suala LA kutangazwa kuwa hayo ni mafanikio ya awamu ya tano si sahihi.Amesotea hayo nawe kwa muda Mrefu na kwa gharama zake binafsi,kwa nini kujisifu kumpitia hiyo mvuja jasho?

Mh.Lema,upo sawa kusema amepunjwa.Madini ya Vito huwa yanajiuza kwa vigezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na size, type, colour, shape, demand & supply nk.Je, serikali ndiyo mnunuzi? Washindani walikuwa kina nani na walikuwa wamefikia bei gani?

Wamepiga cha juu endapo jibu ni ndiyo.
 
Kama Lema anajua kingereza namshauri akasome kitabu kinaitwa The pearl.
The Pearl (novel) - Wikipedia
Kitabu hiki linamhusu mvuvi mmoja masikini aliyebahatika kuvua lulu kubwa kuliko zote duniani.. Kufika sokoni, hakupata mteja wa kumpa bei nzuri na mwisho wa siku baada ya mambo mengi kutokea, akaamua kuitupa ile lulu baharini.
Laizer karidhika na alichopata.. Angekuwa mtu wa tamaa, angezunguka na hayo madini na huenda hata asingepata nusu ya pesa aliyolipwa na serikali.
Screenshot_20200625-085833.png
Screenshot_20200625-085859.png
Screenshot_20200625-090658.png
 
Biashara ni makubaliano, BOT/Serikali wamewekeza mtaji wao lazima faida itapatikana ili hii nchi ifaidike kuendelea kuleta maendeleo yenye tija kwa Watanzania.

BTW Lema amekuwa mtaalam wa madini, mbona hakusema bei yake basi tufahamu na kutueleza hiyo bei ni pungufu kwa kiasi gani? Ndio majungu yenyewe na Propaganda hizo.
Serikali imeanza lini kununua Tanzanite?Madini gani mengine wamenunua tangia waingie madarakani?Faida kiasi gani Tanzania imepata hadi sasa?
Serikali inafanya biashara?CAG anakagua hayo manunuzi?
 
Wakiwemo Gavana wa BoT,Waziri wa Madini,Mzee Baba mwenyewe,Mbunge nk.ni kati ya wanamganda na wanampango/wameshamaliza kumpora kama alivyobainisha Mh.Lema.
Inamaanisha?
Usiwe unanukuu watu kama unaandika utopolo.
 
Biashara ya Vito hasa kwa nchi mchimbaji mdogo na mnunuzi ni makubaliano kwa jinsi mnunuzi anavyoliona dini na mchimbaji akikubali kwa ni raw na linaweza kuwa na mapungufu kadhaa
 
Back
Top Bottom