Julius Magembe
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 284
- 403
Okay...so what?
haa haa mbaya zaidi ni mbunge wa kuchaguliwa. hadi raha....Kwakusimikwa mchagga mwenzie?
BWA HA HA HA HA!!!!!! Nimekucheka kizamani sana ! HIIIIIIIII !!!!!!Kwani hii ya kushangiliwa Kwa Lema ina Tofauti gani na kujaza watu kwenye mkutano wa hadhara wakati wa kampeni kisha waliohudhuria kutokwenda kupiga kura ?
Muda ni Mwalimu, asubiri 2020,ataona matokeo halisi ya kushangiliwa
tindo bado unaishi Kwa zama za kukariri, hebu Niambie in kipi wana Arusha wanaweza jivunia mafanikio japo mawili tu toka Kwa Mbunge Lema,Kama hawaendi ni madhara kwa wote na sio kwa huyo anayeshangiliwa tu. Nikupe maelezo mafupi. Lema hapo Arusha anapendwa bila kujali kwamba anafanyiwa siasa chafu ili aonekane hafai. Na kile kitendo cha kushangiliwa sana kuliko yoyote ni uhalisia ulivyo. Tujifunze kukubali ukweli hata kama tuna maslahi yetu ya kisiasa. Na kwa taarifa yako wananchi wa Arusha wanajitambua na wanaweza kuonyesha hisia zao bila kujali hila zinazofanywa dhidi ya huyo mbunge wao. Na kwa hafla ile wamedhihirisha hilo.
Na hiyo 2020 unajinasibu nayo wote tumeona hizi chaguzi za marudio kilichofanyika cha kutoa mabox ya kura vituoni kisha kuyarudisha yakiwa na kura mbele ya uratibu wa polisi. Hivyo huna la kujivunia kwenye hilo kwani kinachofanyika ni ukatili na unyama ili ccm ishinde na sio kukubalika. Hapa ulichofanya ni kuweka wivu wako hadharani na sio zaidi ya hivyo.
tindo bado unaishi Kwa zama za kukariri, hebu Niambie in kipi wana Arusha wanaweza jivunia mafanikio japo mawili tu toka Kwa Mbunge Lema,Kama hawaendi ni madhara kwa wote na sio kwa huyo anayeshangiliwa tu. Nikupe maelezo mafupi. Lema hapo Arusha anapendwa bila kujali kwamba anafanyiwa siasa chafu ili aonekane hafai. Na kile kitendo cha kushangiliwa sana kuliko yoyote ni uhalisia ulivyo. Tujifunze kukubali ukweli hata kama tuna maslahi yetu ya kisiasa. Na kwa taarifa yako wananchi wa Arusha wanajitambua na wanaweza kuonyesha hisia zao bila kujali hila zinazofanywa dhidi ya huyo mbunge wao. Na kwa hafla ile wamedhihirisha hilo.
Na hiyo 2020 unajinasibu nayo wote tumeona hizi chaguzi za marudio kilichofanyika cha kutoa mabox ya kura vituoni kisha kuyarudisha yakiwa na kura mbele ya uratibu wa polisi. Hivyo huna la kujivunia kwenye hilo kwani kinachofanyika ni ukatili na unyama ili ccm ishinde na sio kukubalika. Hapa ulichofanya ni kuweka wivu wako hadharani na sio zaidi ya hivyo.
... Basi hapo yule raia wa Rwanda akakaa pembeni akawacheki tu!!! Akesema Hiiiiii ... Ha ha ha ha ha ha ...Ni hivi,
Ilikuwa ni sehemu ya kutambulisha wageni wa serikali katika sherehe ya kumsimika askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Arusha.
Mkuu wa mkoa, Gambo akapewa nafasi ya kutambulisha na amefanya kazi nzuri ya kuwatambulisha wote. Alivyotamka kutambua uwepo wa Mbunge wa Arusha, Godbles Lema, uwanja mzima ukasisimka kwa shangwe na vigelegele vilivyochukua karibu dakika nzima.
Na kwa kweli ni kama shughuli zilisimama hadi watu watulie na hata Gambo akawa na heshima ya kusubiri hadi watulie ndipo akaendele na hotuba.
Ni hivi,
Ilikuwa ni sehemu ya kutambulisha wageni wa serikali katika sherehe ya kumsimika askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Arusha.
Mkuu wa mkoa, Gambo akapewa nafasi ya kutambulisha na amefanya kazi nzuri ya kuwatambulisha wote. Alivyotamka kutambua uwepo wa Mbunge wa Arusha, Godbles Lema, uwanja mzima ukasisimka kwa shangwe na vigelegele vilivyochukua karibu dakika nzima.
Na kwa kweli ni kama shughuli zilisimama hadi watu watulie na hata Gambo akawa na heshima ya kusubiri hadi watulie ndipo akaendele na hotuba.
Ongezea na hii....... baada ya lema kushangiliwa gambo akabaki anachekacheka tu hajui afanye nini......... aipoteza hadi uelekeo mwisho wa siku hajui aongee nini........ .... maneno yakamwishia akabaki anambwelambwela tu mara atake kuisifia ccm.......... mara atake kutaja mabombedia mara atake kumsifia magufuli kwa kumteua askofu kagundua hajateuliwa na jpem,....... .. yani kidogo aanze kuzomewa maana ilifika wakati haeleweki anataka kuongea nini.......Ni hivi,
Ilikuwa ni sehemu ya kutambulisha wageni wa serikali katika sherehe ya kumsimika askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Arusha.
Mkuu wa mkoa, Gambo akapewa nafasi ya kutambulisha na amefanya kazi nzuri ya kuwatambulisha wote. Alivyotamka kutambua uwepo wa Mbunge wa Arusha, Godbles Lema, uwanja mzima ukasisimka kwa shangwe na vigelegele vilivyochukua karibu dakika nzima.
Na kwa kweli ni kama shughuli zilisimama hadi watu watulie na hata Gambo akawa na heshima ya kusubiri hadi watulie ndipo akaendele na hotuba.
Wewe ni mwenyeji wa Arusha? Kuna kitu kimoja unatakiwa ukijue kuhusu huu mji. Kwanza Una vijana wengi sana, Pili vijana na mama na baba zao wote ni wagumu(sijajua kama utaelewa tafsiri ya neno ugumu). Lema anajua watu wa aina hii wanataka kusikia nini. Na ndio siri ya Lema kupendwa. Ccm ikitaka kuchukua kiti cha lema basi itafute mtu mwenye saikolojia kama ya Lema. Mtu ambaye akienda ngarenaro, Ungalimitedi, Sanawari, kisongo nk vijana watavutiwa nae. Watu wa Arusha ni watu tofauti sana na wa Pwani, Tanga, Dar nktindo bado unaishi Kwa zama za kukariri, hebu Niambie in kipi wana Arusha wanaweza jivunia mafanikio japo mawili tu toka Kwa Mbunge Lema,
Nijuavyo mimi Lema kaidumaisha Arusha toka aanze ubunge, aliifanya Arusha kuwa ya maandamano na uporaji tu, si vinginevyo .
Arusha ya kabla Yake kua Mbunge ilikua smart Sana,ulikua mji wa kitalii haswa.
Kwa sasa Arusha inarudi kwenye mstari kutokana na kazi nzuri ya RC Mrisho Gambo, hili halina ubishi hata chembe.
Nakuhakikishia Lema anakazi ya ziada kurejea bungeni 2020,Wana Arusha wamekwisha msoma vizuri Sana, kawatumia ndivyo sivyo ma charii wa AR,sasa wamejitambua, narudia muda ni Mwalimu Subiri ufike
Kama ni vijana pekee ndo wanaojiandikisha na kupiga kura Sawa, tusubiri, muda ni MwalimuWewe ni mwenyeji wa Arusha? Kuna kitu kimoja unatakiwa ukijue kuhusu huu mji. Kwanza Una vijana wengi sana, Pili vijana na mama na baba zao wote ni wagumu(sijajua kama utaelewa tafsiri ya neno ugumu). Lema anajua watu wa aina hii wanataka kusikia nini. Na ndio siri ya Lema kupendwa. Ccm ikitaka kuchukua kiti cha lema basi itafute mtu mwenye saikolojia kama ya Lema. Mtu ambaye akienda ngarenaro, Ungalimitedi, Sanawari, kisongo nk vijana watavutiwa nae. Watu wa Arusha ni watu tofauti sana na wa Pwani, Tanga, Dar nk
Mijitu ya ajabu nyie, kwa hyo wew ni Mungu?Hilo Ombi ktk kwa Lema, Mungu hawezi sikia!
tindo bado unaishi Kwa zama za kukariri, hebu Niambie in kipi wana Arusha wanaweza jivunia mafanikio japo mawili tu toka Kwa Mbunge Lema,
Nijuavyo mimi Lema kaidumaisha Arusha toka aanze ubunge, aliifanya Arusha kuwa ya maandamano na uporaji tu, si vinginevyo .
Arusha ya kabla Yake kua Mbunge ilikua smart Sana,ulikua mji wa kitalii haswa.
Kwa sasa Arusha inarudi kwenye mstari kutokana na kazi nzuri ya RC Mrisho Gambo, hili halina ubishi hata chembe.
Nakuhakikishia Lema anakazi ya ziada kurejea bungeni 2020,Wana Arusha wamekwisha msoma vizuri Sana, kawatumia ndivyo sivyo ma charii wa AR,sasa wamejitambua, narudia muda ni Mwalimu Subiri ufike
Anahitaji lubricate huyoVilainishi unavyo? Au vineisha.
Ndio wajue watu hawadanganyika na UKUTA wala Bombadier badala yake wanaangali utu,haki na uhuru wao kama vinaheshimiwa.
Soma tena post yangu mkuu. Nimesema kuanzia vijana, mama zao na baba zao wote wagumu(Asilimia Kubwa). Na sijasema ccm haiwez kushinda, nimesema ikitaka kumtoa Lema itafute mtu anayeweza kuteka saikolojia ya watu wa Arusha kama Lema. Awamu zilizopita lema hakuchaguliwa sababu ana historia nzuri ya maendeleo. Alichaguliwa sababu mpinzani wake hakuwa na ushawishi alio nao Lema. Ukiwa Arusha ndo utaelewa. Watu wa Arusha wametulia tu, unaweza wafananisha na Volcano Tuli lakini volcano ni volcano haiwez kuwa Maji. Na watu wa aina hii lazima uwaletee mtu anayejua saikoloji yao na asiwe mlaini mlaini.Kama ni vijana pekee ndo wanaojiandikisha na kupiga kura Sawa, tusubiri, muda ni Mwalimu