Godbless Lema live Channel Ten

Godbless Lema live Channel Ten

Soki

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
1,303
Reaction score
281
kamanda anafunguka pale.

Anasema Tanzania tuna Pamba, Korosho, Kahawa, gas , mafuta, uraniam, Tanzanite, mlima wa pili kwa urefu duniani, mbuga za wanyama kubwa kabisa duniani, hali ya hewa nzuri, nk, nk, sasa hapo tukisema Tanzania ni maskini ni kufuru.

Anasema tatizo ni hatuna viongozi wenye upendo na nchi yao ndiyo maana tuko hivi tulivyo!

Alipoulizwa kuhusu ahadi yake ya kujenga Hospitali jimboni kwake kwamba atawezaje kuitimiza wakati amekaa nje ya ubunge kwa muda mrefu, amesema ni kweli amekuwa katika usumbufu kwa takribani miaka miwili LAKINI LAZIMA NDOTO YAKE HIYO ITIMIE KUFIKIA 2015. Hataki kuwa mtu wa kutoa sababu tuu za kutokimiza ahadi.
 
Mheshimiwa Lema awahakikishia wananchi wa Arusha kujenga hospital tena wakimuuzi kwa kutokuamini basi atajenga mpaka swimming pool hospitalini. Big up Mheshimiwa Lema.
 
Jamaa anajiamini sana,anasema tz sio masikini ila ni masikini wa mawazo,na viongozi hawana utu ndo maana tuko hivi tulivyo
 
Mkuu Jembe liko Linapeleka ujumbe kwa jamii kupitia Channel Ten
 
Kweli kabisa mkuu. Huyu jamaa anafaa hata kuwa RAISI wa nchi hii na mambo yakaenda kuliko sanamu tuliyonayo.
 
Lema anasema hataki kuonewa na yeyote yule anayeishi chini ya jua.
 
Mwangalieni wenyewe!

anasema uoga ni ujinga, siyo busara.

anasema umaskini wa Tanzania ni wa fikra.
 
Anakamua mzee,huyu jamaa ni issue nyingine god bless jonathan lema.
 
Hata kama elimu yake ni ndogo kama tunavyoaminishwa ila jamaa yupo smart kuliko hata hao wenye elimu kubwa hapa tz.....kasema kama kupigania haki ni fujo bs waendelee kumwita kinara wa fujo kwani hata nyerere wakt anapigania uhuru wazungu walisema anavunja sheria za nchi
 
Arusha huyu kamanda anakubalika mmmno kuliko hata makongoro Nyerere miaka ya nyuma.
 
Not live!
-Chanel 10
kipindi Mimi na Tanzania
Mtangazaj Hoyce Temu
wako Dodoma ktk hotel maarufu ya St. Gasper
anasema kuita Tz maskini ni kufuru '' nchi yenye tznite, mlima wa 2 kwa urefu duniani,uranium,mbuga za wanyama na yenye wananchi kupenda na kuvumiliana lkn ndo ina sifa au nchi mojawapo inayoongoza kwa umasikini duniani''
pia moja maelezo yake mengi mengi lkn
anasema ''kama Cdm/upinzan/Lema analeta fujo bungeni kwaajili ya kutetea wananchi au kutafuta haki na kuwaamsha wananchi wajue haki zao... '' anasema ''basi hizo fujo niongezeeni mimi ''
 
Back
Top Bottom