kamanda anafunguka pale.
Anasema Tanzania tuna Pamba, Korosho, Kahawa, gas , mafuta, uraniam, Tanzanite, mlima wa pili kwa urefu duniani, mbuga za wanyama kubwa kabisa duniani, hali ya hewa nzuri, nk, nk, sasa hapo tukisema Tanzania ni maskini ni kufuru.
Anasema tatizo ni hatuna viongozi wenye upendo na nchi yao ndiyo maana tuko hivi tulivyo!
Alipoulizwa kuhusu ahadi yake ya kujenga Hospitali jimboni kwake kwamba atawezaje kuitimiza wakati amekaa nje ya ubunge kwa muda mrefu, amesema ni kweli amekuwa katika usumbufu kwa takribani miaka miwili LAKINI LAZIMA NDOTO YAKE HIYO ITIMIE KUFIKIA 2015. Hataki kuwa mtu wa kutoa sababu tuu za kutokimiza ahadi.
Anasema Tanzania tuna Pamba, Korosho, Kahawa, gas , mafuta, uraniam, Tanzanite, mlima wa pili kwa urefu duniani, mbuga za wanyama kubwa kabisa duniani, hali ya hewa nzuri, nk, nk, sasa hapo tukisema Tanzania ni maskini ni kufuru.
Anasema tatizo ni hatuna viongozi wenye upendo na nchi yao ndiyo maana tuko hivi tulivyo!
Alipoulizwa kuhusu ahadi yake ya kujenga Hospitali jimboni kwake kwamba atawezaje kuitimiza wakati amekaa nje ya ubunge kwa muda mrefu, amesema ni kweli amekuwa katika usumbufu kwa takribani miaka miwili LAKINI LAZIMA NDOTO YAKE HIYO ITIMIE KUFIKIA 2015. Hataki kuwa mtu wa kutoa sababu tuu za kutokimiza ahadi.