Godbless Lema: Kuna wakati wanasema tunalia ovyo na wengine wanasema ni waoga, sifa hizi haziwezi kuishi muda mrefu

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Kuna wakati huwezi kujua ni kitu gani unapaswa kuandika tena juu ya uonevu. Wengi wanasema tunalia ovyo,wengine wanasema tumekuwa waoga sana,sifa hizi zinaweza kuonekana ni zetu kwa sasa lakini sina uhakika kama zinaweza kuishi na jamii yetu kwa muda mrefu.

msigwa.jpg
 
Kuna wakati huwezi kujua ni kitu gani unapaswa kuandika tena juu ya uonevu. Wengi wanasema tunalia ovyo,wengine wanasema tumekuwa waoga sana,sifa hizi zinaweza kuonekana ni zetu kwa sasa lakini sina uhakika kama zinaweza kuishi na jamii yetu kwa muda mrefu.

View attachment 682763
Yaani kuna wakati najiuliza hii nchi kama ilikazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi kwanini wasiitoe kuliko kuwafanya watanzania wengine kuwa maadui ndani ya nchi yao???? Maana leo wapinzani wanaonekana ni watu ambao hawasitahili kuwepo.
 
Kuna wakati huwezi kujua ni kitu gani unapaswa kuandika tena juu ya uonevu. Wengi wanasema tunalia ovyo,wengine wanasema tumekuwa waoga sana,sifa hizi zinaweza kuonekana ni zetu kwa sasa lakini sina uhakika kama zinaweza kuishi na jamii yetu kwa muda mrefu.

View attachment 682763
Wamempiga risasi Lissu tumekaa kimya, wamemteka Ben saa nane tume kaakimya, wameua makamanda wetu akiwemo mawazo tumekaa kimya, wanawaweka ndani makamanda wetu tumekaa kimya sasa tunakaribia kuchoka, bado kidogo tu tutalipuka
 
Kuna wakati huwezi kujua ni kitu gani unapaswa kuandika tena juu ya uonevu. Wengi wanasema tunalia ovyo,wengine wanasema tumekuwa waoga sana,sifa hizi zinaweza kuonekana ni zetu kwa sasa lakini sina uhakika kama zinaweza kuishi na jamii yetu kwa muda mrefu.

View attachment 682763
Tumikieni wananchi walio wachagua kwa kutimiza ahadi mlizoahidi, kushindana na serikali kuhimiza vurugu na uvunjifu wa amani hamtashinda.
2020 hiyo inagonga hodi nyie kutwa kucha matusi, kejeri, dharau, hovyo Sana
 
Raia hawashambulii askari kwakua askari wapo organized wana mafunzo lakini pia sheria imewapa mamlaka ya kupambana na 'uhalifu'

Unaweza kuta askari kapigwa eneo fulani, kinachofuata ni askari kurundikana eneo hilo na kupiga raia bila mpangilio na wakuu wao watajitokeza kutetea.

Yaani odds zipo against raia in any way.

Na kingine ni kwa sababu silaha hapa bongo hadi uimiliki si mchezo, nahisi ingekua kama USA yaani ni kuhudhuria mafunzo, na taratibu zao za kua na umri sahihi unamiliki mguu wa kuku nahisi tusingeleteana ubabe
 
MKWEPA KODI Lugha uliotumia si njema, hii ndo inayowafanya jamaa zako, Sugu, Lema, Msigwa kukamatwa na kulala Lupango kila mara,,

nyie kuona wanaonewa, jirekebisheni tabia, lugha hii inaonyesha wewe ni raia wa aina gani kwenye jamii unayoishi, naamini lugha hii imeanzia nyumbani kwenu Kwa kuwatamkia Baba yako na mama yako matamshi ya namna hii, kabla ya kutoka mbele ya hadhira kama hii
 
Tumikieni wananchi walio wachagua kwa kutimiza ahadi mlizoahidi, kushindana na serikali kuhimiza vurugu na uvunjifu wa amani hamtashinda.
2020 hiyo inagonga hodi nyie kutwa kucha matusi, kejeri, dharau, hovyo Sana
Wakikaa kimya mpaka 2020 watakuwa wame wa pyu pyu!!!wote,ni bora walianzishe,kufikia 2020 watakuwa wameheshimiana!!!!
 
Wakikaa kimya mpaka 2020 watakuwa wame wa pyu pyu!!!wote,ni bora walianzishe,kufikia 2020 watakuwa wameheshimiana!!!!
Mkuu sheria zipo, Zisivunjwe, zifuatwe.
Kama watalianzisha kwa kufuata sheria za nchi zilizotungwa na bunge, hakuna tatizo, Kama watalianzisha kwa kuvunja sheria wataishia jela, kupata vilema visivyo vya lazima, hivyo kuathiri familia zao kiuchumi, wakiacha wale vinara wa kubadilisha gia angani wakiwa salama na familia zao, kifupi watakua mbuzi wa kafara,
 
Serikali lazima watambue kwamba hata ndani ya Polisi na JWTZ kuna Askari wenye ndugu zao, au wazazi wao, ambao wapo upinzani, pamoja na kwamba Askari hawarusiwi kufuatilia mambo ya Siasa, lakini lazima tutambue na wao pia ni binadam, mtu huwezi kuona ndugu yako au mzazi wako ambae yupo Dar amevunjiwa nyumba yake, halafu mzazi wa mwenzako yupo Mwanza rais anasema hao waachwe kwakuwa wamenipigia kura, au unaona kabisa ndugu yako au mzazi wako ananyimwa haki zake za kisheria kwa kila siku kuwekwa ndani na kunyimwa dhamana,

wengine kutaka kuuwawa kwa kupigwa risasi na wengine kupotezwa, kisa tu ni wanatoka kwenye vyama vya upinzani, Uvumilivu huu ukija kuwashinda Raia, basi mlitambue hata hao wanausalama wetu watagawanyika kama mlivyo waonyesha yakuwa kuna wa Mwanza au kuna walionipigia kura ndio wenye haki zaidi au ndio wazalendo na hao wengine hawana haki,

Serikali ijitahidi kuangalia haya la sivyo nchi yetu itakuja kuingia pabaya kwani sasa hivi chuki inazidi kuwa kubwa sana sio kwa Raia hata hao askari wetu na hata ndani ya Madhehebu yetu ya Dini, watu wataanza kujenga Visasi mwisho patakuwa hapakaliki. Ukweli ni kwamba watu wamechoka. Mungu wetu atuepushe na hayo majanga.
 
Mbowe angeacha kuuza madawa bila shaka angewaponya unyumbu vijana wake.
Sasa akiacha kuuza Madawa wewe na yule mzee wenu Maguwamivalo mtapataje nafuu ya huo ugonjwa wenu? wakati Mirembe hospital Serikali imeshindwa kupeleka dawa, ukiangalia wodi zote za wagonjwa wa vichaa hapa Tz hakuna madawa, Sasa Mboe akiacha tu kuuza madawa nyie mtaanza kuokota Vichwa vingine vya treni huko Bandarini, mshuru Mungu sana wewe .
 
Back
Top Bottom