GODBLESS Lema kuhutubia hawezi hana pointi

GODBLESS Lema kuhutubia hawezi hana pointi

Ukisikiliza hotuba za Godbless Lema unaona wazi kabisa hotuba zake ziko chini mno ya kiwango.Yaani ni mtu anaokoteza hoja hii,ile haijakamilika karukia kule.Ninachosikia ni mikelele tu ya sauti kubwa.Analazimisha watu wasikilize kwa kuongea kwa sauti kubwa na kelele nyingi lakini zisizokuwa na pointi kabisa.Hivi watu wa Arusha mjini wakienda kumsikiliza huwa wanashangilia nini mbona sioni pointi kwenye hotuba za Lema?
Watu wamekariri kuwa ukiwa unaongea sana ni lazima uwe mwana siasa.
 
Hata Wewe Post yako Haina Point
Sema tu Mahaba ya Chama Chako Yameua Upeo na Akili Zako
Mwenye Akili Timamu Hawezi Kuandika Pumba Za Kibashite Zero.
 
Kama kuna watu wa ajabu basis na wewe umo kama unakubali mapungufu ya magu kwanini usikubali mapungufu ya lema pia au una double standard? Wote wana mapungufu sawa na binadamu wengine iweje ukubali ya mmoja aukatae ya mwengine
It's shame
Mapungufu ya LEMA ni ya kujitakia na tena ni ya kipuuzi kabsa.......KUTUKANA huwezi sema hayo ni MAPUNGUFU ya kibinadamu huo ni UHUNI KIWANGO CHA BANGI
 
Yehodaya labda wakati unaisikiliza hiyo hotuba ya Rais wa Arusha masikio yako yalikuwa yamehamia kwenye makalio ukawa unasikia mawimbi ya mashuzi.
 
Leo ukiambia lema katukana utasema katukana tus gan kwamfano yan afrika kuna watu waajabu hakujawah tokea
 
Na huyo wwma spade(sepetu kwa kiswahili) ndo kabisa hajui anachoongea
 
Kuna bwana mmoja naye hawezi kuhutubia kwa KIINGEREZA isipokuwa kisukuma tu.
 
Ninakushukulu sana plesident uhulu kinyata , in fact the load (road) will be kositi us a rot of money...
 
Hata mimi ningekuwa ni RAIS wa nchi hii...kamwe nisingetoa ushirikiano kwa KWA MBUNGE kama LEMA.....
Huyu jamaa ana wagharimu sana WANA ARUSHA MJINI kupitia hizi aina zake za SIASA ZA kipuuzi....zinge mlipa sana kama angezitumia kipindi cha JK lakini si kwa MAGUFULI...Maana MAGUFULI analitumikia hili TAIFA inavyotakiwa ingawa nae ana mapungufu yake ya hapa na hili la MAPUNGUFU si jambo la AJABU maaana BINADAMU tumeumbwa si timilifu
Tatizo ana mapungufu ya kitoto na yanakera mno,hii inafanya tuone hana mapungufu ila ana makusudi na roho ya kwanini bila kusahau visasi!
 
Ukisikiliza hotuba za Godbless Lema unaona wazi kabisa hotuba zake ziko chini mno ya kiwango.Yaani ni mtu anaokoteza hoja hii,ile haijakamilika karukia kule.Ninachosikia ni mikelele tu ya sauti kubwa.Analazimisha watu wasikilize kwa kuongea kwa sauti kubwa na kelele nyingi lakini zisizokuwa na pointi kabisa.Hivi watu wa Arusha mjini wakienda kumsikiliza huwa wanashangilia nini mbona sioni pointi kwenye hotuba za Lema?
Punguza wivu we bidada Lema Ana mkewe
 
Ukisikiliza hotuba za Godbless Lema unaona wazi kabisa hotuba zake ziko chini mno ya kiwango.Yaani ni mtu anaokoteza hoja hii,ile haijakamilika karukia kule.Ninachosikia ni mikelele tu ya sauti kubwa.Analazimisha watu wasikilize kwa kuongea kwa sauti kubwa na kelele nyingi lakini zisizokuwa na pointi kabisa.Hivi watu wa Arusha mjini wakienda kumsikiliza huwa wanashangilia nini mbona sioni pointi kwenye hotuba za Lema?
Na ww jaribu tukuone
 
Ukisikiliza hotuba za Godbless Lema unaona wazi kabisa hotuba zake ziko chini mno ya kiwango.Yaani ni mtu anaokoteza hoja hii,ile haijakamilika karukia kule.Ninachosikia ni mikelele tu ya sauti kubwa.Analazimisha watu wasikilize kwa kuongea kwa sauti kubwa na kelele nyingi lakini zisizokuwa na pointi kabisa.Hivi watu wa Arusha mjini wakienda kumsikiliza huwa wanashangilia nini mbona sioni pointi kwenye hotuba za Lema?


Wewe apa umeandika upupu gani........
 
Subiria buku 7 yako ya mgao wa leo ,tumbo linaweza kukufanya ukajitoa ufahamu
 
Nilifikiri unasema amefoji vyeti..
mkuu lema ni no school hivyo huwezi kumdai vyeti utaonekana hamnazo, ni sawa na kumtaka bubu aongee......haiwezekani!
Hebu hutubia wewe tuone point zako kama za sizonje.

Roho za wanaccm zinawauma sana kuona Lema anadunda mtaani. Lema piga kazi achana na matapeli.
Ukidai haki kwa watu waovu lazima uumie. Mungu yupo pamoja nawe ni Mandela wa Tanzania. Walifikiri ccm kukufunga watakukomesha kumbe wamejikomesha
 
Back
Top Bottom