Wengine watasema kifo ni kifo hasa wanaoshangilia kwasasa vile vile nyota njema huanza nyumbani yaani mtoto umleavyo ndivyo awavyoSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Maono ya maviMungu adhihakiwi. Mh Lema ni miongoni mwa watu wachache wenye maono. Kawaonya wahusika kwa matendo yao yasiyompendeza Mungu. Wameshupaza shingo zao. Upanga wa Mungu umekuja ukapota nao.
Wako watu waliotekwa na kupotezwa, wahusika wamefurahia matendo ya ushindi wao wa kuwapoteza binadamu wenzao. Wasimamizi wa Mihimili wameonywa lkn wameshupaza shingo zao. Acha Mungu aitwe Mungu.
Ukimwangalia Lema kwa matendo unaweza kuamini ni mpinzani na mbeba maono lakini ukijua kundi analolitumikia Wala huwezi kupata wasiwasi kwa sababu anakuwa na taarifa sahihi za kilicho pangwa kikapangika kikisubiri utekelezaji tu.Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Inasikitisha sana huyu McanadaUkimwangalia Lema kwa matendo unaweza kuamini ni mpinzani na mbeba maono lakini ukijua kundi analolitumikia Wala huwezi kupata wasiwasi kwa sababu anakuwa na taarifa sahihi za kilicho pangwa kikapangika kikisubiri utekelezaji tu.
Na vyama vya upinzani vikiendelea kumuamuni na kumuingiza kwenye vikao nyeti wasitarajie maajabu.
Uwe mwema au usiwe mwema tutakufa tu.Wema au ubaya si kigezo cha kuishi muda mrefu au mfupi.Kila mtu atakufa siku yake ikifika.Hoja ya msingi tutende wema tukubalike kwa MunguSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Chuki zako na Lema hazituhusu sisiSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Lema hajui hiloUwe mwema au usiwe mwema tutakufa tu.Wema au ubaya si kigezo cha kuishi muda mrefu au mfupi.Kila mtu atakufa siku yake ikifika.Hoja ya msingi tutende wema tukubalike kwa Mungu
Kivipi?Chuki zako na Lema hazituhusu sisi
Tulia dawa ya utabiri iingieSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Jamaa ana mambo ya ajabu sana unafurahi vipi watu wakifa eti alitabiri, sasa sijui yeye ataishi milele ni ujinga tu unamaumbuaSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Yani jamaa anatabiri kitu ambacho kipo tu.Jamaa ana mambo ya ajabu sana unafurahi vipi watu wakifa eti alitabiri, sasa sijui yeye ataishi milele ni ujinga tu unamaumbua
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Na muda si mrefu atakinyweaSiku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!
Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.
Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?
Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Siku Lema amekufa timu Mbowe watashangilia sanaWe unayesema kifo hakijawahi kuwa adhabu umesoma wapi hayo maneno? Unajua hatma ya Kora na wenzake walipomsakama Nabii Musa kwenye Biblia? Mwenyezi Mungu aliwapa adhabu gani? Kawadanganye wasiosoma Biblia.