Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Unabii kutoka kwa Mungu haujawahi kuwa dhambi
 
Kuna kiumbe asiye kufa?
Kama wote tutakufa, Ina maana wote tumeadhibiwa?
Kama ndivyo, nini faida ya kuwa mhongofu?
Kufa ni sehemu ya adhabu. Biblia inasema "mshahara wa dhambi ni mauti" halafu tena "wametenda dhambi, wote wamepungukiwa na utukufu".

Ukiachana na maandiko matakatifu, tuje kwenye hili:

Kama kifo hakiwezi kuwa adhabu, kwanini kuna adhabu/hukumu ya kifo kwenye mahakama zetu?
 
Kufa ni sehemu ya adhabu. Biblia inasema "mshahara wa dhambi ni mauti" halafu tena "wametenda dhambi, wote wamepungukiwa na utukufu".

Ukiachana na maandiko matakatifu, tuje kwenye hili:

Kama kifo hakiwezi kuwa adhabu, kwanini kuna adhabu/hukumu ya kifo kwenye mahakama zetu?
Huyo anayekuhukumu mwisho wake huwa nini?
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Tutolee ungese broo
 
Back
Top Bottom