Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

We unayesema kifo hakijawahi kuwa adhabu umesoma wapi hayo maneno? Unajua hatma ya Kora na wenzake walipomsakama Nabii Musa kwenye Biblia? Mwenyezi Mungu aliwapa adhabu gani? Kawadanganye wasiosoma Biblia.
Kuna kiumbe asiye kufa?
Kama wote tutakufa, Ina maana wote tumeadhibiwa?
Kama ndivyo, nini faida ya kuwa mhongofu?
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Vifo vinatofautiana mkuu mtu anayefariki kwa kutekwa na kutobolewa macho ni tofauti na mtu ambaye amefariki kawaida wakati kina nape wanafurahia kifo cha magufuli ilionekana kawaida sasa hivi ni ubaya ubwela.
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Wala lema ajawai sema kwamba fulani anakufa .yeye huwaga anatoa mistari ya bible kama wew ndio utakuwa umeelewa vibaya au kama vip leta tweet tuone hapo
 
Watawala na Ccm kwa ujumla kitu ambacho wamefanikiwa kuwajengea CDM kutoka kwa wananchi ni "huruma"
Sahivi kiongozi yeyote wa CDM akiongea jamii inakuwa attention kumskiliza si kwasababu anaongea mazuri sana ni kwasababu ya mizengwe waliyofanyiwa na watawala
Kwahy matokeo ya kifo Cha kiongozi wa CDM inawezekana yakawafanya watu waomboleze zaidi kuliko atakavyofariki kiongozi mwingne nje ya CDM
 
Vifo vinatofautiana mkuu mtu anayefariki kwa kutekwa na kutobolewa macho ni tofauti na mtu ambaye amefariki kawaida wakati kina nape wanafurahia kifo cha magufuli ilionekana kawaida sasa hivi ni ubaya ubwela.
Laana inawatafuna mpaka leo,
 
Bado deaf frog.
Mungu adhihakiwi. Mh Lema ni miongoni mwa watu wachache wenye maono. Kawaonya wahusika kwa matendo yao yasiyompendeza Mungu. Wameshupaza shingo zao. Upanga wa Mungu umekuja ukapota nao.

Wako watu waliotekwa na kupotezwa, wahusika wamefurahia matendo ya ushindi wao wa kuwapoteza binadamu wenzao. Wasimamizi wa Mihimili wameonywa lkn wameshupaza shingo zao. Acha Mungu aitwe Mungu.
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Lema hata akifa hakuna tatizo, maana hajifanyi mungu mtu kama dhalimu magufuli na shetani ndugai.
 
Siku za hivi karibuni
Sasa kama hayo yote unayajua huu uzi umeuanzisha wa nini ?
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
 
Ko watu tusishangilie msiba kisa kuogopa kufa?
Tukifa nanyi shangilieni, shida iko wapi?
 
Yule jamaa ana shida kubwa , anajiona yeye ni msafi hana doa , anajifanya ana mawasiliano na Mungu eti kila analosema linatimia , hovyo sana yule jamaa
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Watu kuwa hawajui formula ya kimuungu .lile uwandeao wenzako liwe jema au baya na hata wewe utalipwa hivyo hivyo.Kwa hiyo na kifo Cha Lema lazima watu watashangilia
 
Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia!

Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu.

Godbless Lema alishakaa na kujiuliza siku amekufa wafuasi wa Mbowe watasema nini juu ya kifo chake?

Watalia au watashangilia? Kifo hakijawahi kuwa adhabu kwa sababu kila mtu atakufa.Hata Lema siku akifa kuna watu watasema ni hasira za Mungu
Acha kumtisha,yeye hatishi yeyote bali huwa anawakumbusha wanapo kengeuka tuu!
 
Back
Top Bottom