Wewe ni shabiki mpuuzi. Kama ni bangi nusu ya wabunge wanavuta. Ni pamoja na wanaosema wenzao wanajamba bungeni. Wengine ni wale wanaotaka kuwatunga uzi wa nyuma wenzao tena kwa taratibu. Wengine ni wale wanaotumia the four letter word. Lakini wengine ni wale wanaodai kule mjengoni kuna watu wenye mimba zisizotarajiwa kana kwamba yeye ni mume au mkunga wao. Tena hao ni baadhi tu.bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Duh hawa jamaa sijui wanaipeleka wapi nchi yetu ni siasa za bangi namna hii.
Duh hawa jamaa sijui wanaipeleka wapi nchi yetu ni siasa za bangi namna hii.
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Duh hawa jamaa sijui wanaipeleka wapi nchi yetu ni siasa za bangi namna hii.
Tundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}
Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
Haki aiombwi inapiganiwa ukombozi umekaribia big up makamanda
Duh hawa jamaa sijui wanaipeleka wapi nchi yetu ni siasa za bangi namna hii.