mmeshindwa mahakamani na sasa kilaza wenu nepi ndio kawafundisha hivi muandae upuuzi wenu mfikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 47,nawashauri hizi karatasi kwa kuwa serikali yenu imeshindwa hata kuwapa maji basi mzifanye toilet paper msije mkaendelea kunuka mav.... kama magamba inavyonuka sasa!!!!Mods, ziweke wazi hiyo document naona naandamwa mimi au mwanaJf yeyote aziweke wazi kwani zina ushahidi wa ninachosema dalili hizo ni mbaya kwa chadema Arusha.
Kwa nini pro chadema msi discuss issue yenyewe badala yake mnaporomosha matusi halafu mod mancheka tu kwenu rahaaa
nimepewa na mdau kutoka chadema makao makuu ilishafika kwa Dk. wa kweli
Na tazama sasa nilivyosakamwa kosa langu liko wapi? au kuleta barua hii hapa kwa ajili ya mjadala? it is not fair at all.
Naibu katibu mkuu je?
Naibu katibu mkuu wa hicho chama kazi yake ni nini au kuandika makala?
Na tazama sasa nilivyosakamwa kosa langu liko wapi? au kuleta barua hii hapa kwa ajili ya mjadala? it is not fair at all.
Mmemuandama dr slaa sana tu atikisiki,Mmeanza kumchimba Lema.NIKIWA KAMA Katibu mwenezi wa chadema ktk mojawapo ya kata hapa arusha Mjini napingana nawe.HALI YA CHADEMA ARUSHA NI SHWARI na hapa tulivyo ni vigumu mno hata kuona bendera ya magamba kwa mabalozi ambao nadhani HAWAPO siku hizi ktk jimbo hili.hizi ni siasa za sewage za mama porojo na akina mama chatanda.[/QUOTE
kwa kuongeza mkuu,
Baada ya kusoma hizi taarifa nilishtuka kidogo, Kisha nikapiga simu Arusha kujua ukweli wa jambo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa wilaya ambaye asingeweza kunificha Jambo. Yeye mwenyewe akaanza kunishangaa mimi. Hakuna kiongozi mwenye malalamiko dhidi ya LEMA, wanamwona kama shujaa wao. JF wangetendea haki kwa kufuta thread hii. Haina viwango vya kuwekwa hapa. Kweli JF siku hizi tumeingiliwa.
Ha ha haaa haaaaa! Kwikwi kwiwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ha yaani hata wewe Mikael? Umeingiliwa na nini, hebu
weka wazi mkuu?
Kuna pendekezo kwamba neno Demokrasia liondolewe ndani ya CHADEMA kwa sababu haukuna uhuru wa kusema.
JF wamtendee haki nani sasa wakati sisi ndio members wenyewe tunaochangia? Thread yoyote ile ambayo ni dhaifu inajifia yenyewe kimya kimya! Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.
Ni nani menye ujasiri wa kupambana na ufisadi Tanzania? CCM wameshindwa, CDM wameshindwa kupigana na ufisadi hata kwenye chama chao, nchi wataiweza?
Mmemuandama dr slaa sana tu atikisiki,Mmeanza kumchimba Lema.NIKIWA KAMA Katibu mwenezi wa chadema ktk mojawapo ya kata hapa arusha Mjini napingana nawe.HALI YA CHADEMA ARUSHA NI SHWARI na hapa tulivyo ni vigumu mno hata kuona bendera ya magamba kwa mabalozi ambao nadhani HAWAPO siku hizi ktk jimbo hili.hizi ni siasa za sewage za mama porojo na akina mama chatanda.[/QUOTE
kwa kuongeza mkuu,
Baada ya kusoma hizi taarifa nilishtuka kidogo, Kisha nikapiga simu Arusha kujua ukweli wa jambo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa wilaya ambaye asingeweza kunificha Jambo. Yeye mwenyewe akaanza kunishangaa mimi. Hakuna kiongozi mwenye malalamiko dhidi ya LEMA, wanamwona kama shujaa wao. JF wangetendea haki kwa kufuta thread hii. Haina viwango vya kuwekwa hapa. Kweli JF siku hizi tumeingiliwa.
Hii barua ukicheck ina utata mkubwa sana na inaelekea imetungwa mtaani ni hooligans fulani.
Barua imeandikwa tarehe 05 November 2012 halafu kumbukumbu ya barua ni KUMB/NO 01/CDM/AR.......... yaani mwaka mzima wamendika barua mmoja tu??
Kwa vipi hawana address yao wenyewe wakati wanayo ya Katibu mkuu??
Nafikiri ni kazi ya kina TUNTEMEKE hii!!
Hawa watoto sasa wamekuwa kero yaani sasa wanataka kugombea uraisi wakati hata ukiranja hawajawahi kupata.ona mijadala yao mtu kaleta mada na evidence wao matusi.kama cdm kufa itakufa tu.hasira zenu haziwezi kuuzuia hilo.iliyobaki leteni maji ili kife kwa aamani.
Wewe ni mtu wa kueneza habari mbaya tu za Chadema na tena za uzushi.
Leo uko Iramba kwenye mauaji, kesho umebomolewa Kawe, siku nyingine uko Ubungo. Simply huaminiki!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hatuwashangai ubaguzi ndio dira yenu.ona sasa mlianza na ukanda,udini sasa jinsia.ole wenu enyi wanawake mnaotumiwa kuchelewesha ukombozi wa watanzania, dhambi hii itawatafuna vizazi na vizazi.kama ni kweli ulikuwa na lengo la kukisaidia chama je mahali hapa ulipoleta ni sahihi? Mbona matatizo ya ndoa yako hautuletei hapa jf?
barua imeandikwa na slaa afu anatumiwa slaa daa kweli mfa maji haachi kutapatapa,
maccm bwana sijui ndo yamerogwa na wananchi