Angalisho liwekwe, maana kama kesi ilikuwa hivyo na hukumu ikawa hivyo, basi kuna mkakati mkubwa sana wa serikali na chama chake (CCM) wa kulitaka jimbo hilo la arusha kwa gharama yoyote
Chadema wawe makini sana na Kumsimamisha Lema, kama mahakama imesema Lema anaweza kugombea basi hapo kuna agenda ya siri inawekwa ili bwana Lema atakapotia jina tu basi Pingamizi litawekwa na kwa Mizengwe waliyoipanga ni lazima pingamizi litapita tu
kwa Mwenendo wa hukumu nzima Chadema inawapasa wawe makini mno, maana sasa wanashindana na nguvu kubwa zaidi
ni mtazamo tu