Godbless Lema: Arusha inaharibiwa na uselamavi

Godbless Lema: Arusha inaharibiwa na uselamavi

Moja ya mikoa nayo iyonaga jau ni huu Arusha, Zaidi ya mara NNE nikienda nakutana na usela mavi
Kwa wanaokaa Arusha wanaelewa hili , miaka ijayo Arusha inaweza ikawa mkoa wenye kizazi cha ovyo sana wanajiona wajanja ila ukwel ni utahira na kutakua na matukio mengi ya kutisha just imagine watu wanavuta bangi mda wote alafu ndo wazazi wa kesho hili ni janga.

Kuna mitaa ya Pangani na Kilombero unakuta watu muda wote wamaejaza mavitu mdomoni, kumbe wanakula mirungi
 
Eneo lolote likiwa hub ya ujambazi hutengeneza jamii ya watu wababe na wakorofi.
Arusha ilikuwa kitovu cha uhalifu wa kutumia silaha itachukua muda mrefu sana kuondoa hiyo culture.
Hili jambo limekuwa kero kubwa Arusha, ni kizazi cha hovyo sana na si mabinti tu. Kuna ushenzi unaitwa Rali wakienda hawarudi salama ni kuzika mara kwa mara kuna jambo la chemka nalo ni kero wakienda kule saa ya kurudi ni hatari wamelewa na kuendesha pikipiki hovyo. Ifike mahali hizo sehemu serikali iweke macho kwa kuwa humo wakikutana ndiyo wanapojifunzia hizo tabia za hovyo na kujidai wajanja, najiuliza kwa tabia hii hata kama kuna sehemu yenye ajira hata kama siyo ya level za juu unaweza kuchukua kijana kama huyu ukamkabidhi ofisi?
 
Msanii wao mkali ni fidovato
Nguo zao kali na viatu lazima yawe makubwa makubwa oversize
Ili wajione wanaongea kijanja lazima waharibu lugha

Ninachokipenda Arusha ni wanawake wao wengi wako real ila kaka zao wasenge kwelikweli
 
Back
Top Bottom