Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Nakudokeza tu, Ile siku na saa wanamdhuru amini kabisa serikali itasimama kwa muda.
Na kama yatamkuta Dar, wewe uende Ubungo within three to four hours za taarifa kutoka ujionee na kujihesabia hizo ZX, XLR, Hardtops etc zitavyoingia mjini.
Na wanajua hilo ndio maana hawathubutu kumgusa Kamanda Lema a.k.a Mandela
Na kama yatamkuta Dar, wewe uende Ubungo within three to four hours za taarifa kutoka ujionee na kujihesabia hizo ZX, XLR, Hardtops etc zitavyoingia mjini.
Na wanajua hilo ndio maana hawathubutu kumgusa Kamanda Lema a.k.a Mandela