Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Nyerere alikuwa ndio mzalendo wa kweli nchi hii, acha hawa walioanza uzalendo baada ya kupewa madaraka. Mbona hatukuwahi kumuona na ulinzi wa mbwembwe hivyo? Ni hivi hakuna la zaidi, zaidi ya ulevi wa madaraka fullstop.
Zama alizotawala Nyerere unaweza kulinganisha na zama hizi? Sometimes kaa na kutafakari juu ya argument zako.
 
Hujui? Au unajifanya hujui? Hujui kuwa ana maadui wengi? Unadhani wanafurahi anavyolinda rasilimali za nchi? Unadhani wanafurahi anavyodhibiti ufisadi?

Maadui wapi, mnatengeza taswira wenyewe kisha mnataka tuamini hayo maigizo yenu? Kuna rasilimali gani nchi hii ya kusema anatafutwa? Hatukatai ulinzi maana ni sahihi kwa nafasi yake, ila sio kwa huo wa ufujaji wa pesa.
 
Zama alizotawala Nyerere unaweza kulinganisha na zama hizi? Sometimes kaa na kutafakari juu ya argument zako.

Hizo zama za kina Nyerere si ndio waliuliwa viongozi wengine wa kiafrika wazalendo? Au mauaji ya viongozi yameanza baada ya awamu hii kuingia madarakani?
 
Huyo TL hajapata uraisi anatumia helicopter kila anapoenda, jiulize ninani anampa hizo pesa za kutembelea usafiri wa anga ilihali hatujui shughuli au biashara zake hapa Tanzania zinazoweza kumuwezesha kutembelea usafiri wa anga??!!

Hujawahi kuona ulinzi mkubwa wa raisi kama huo sababu huyu baba ni raisi wa kwanza kwa Tanzania kutangaza vita vya uchumi.
 
Hizo zama za kina Nyerere si ndio waliuliwa viongozi wengine wa kiafrika wazalendo? Au mauaji ya viongozi yameanza baada ya awamu hii kuingia madarakani?
Utandawazi umeleta mabadiliko makubwa sana. Zama za akina Nyerere na zama hizi ni tofauti japokuwa waliuliwa na kupinduliwa wengi.
 

Tulichanganya pesa zetu kumuwezesha kutumia chopa.

Inaonekana umezaliwa miaka ya 2,000. Alikuwepo Nyerere mzalendo wa vitendo sio mzalendo baada ya kupata madaraka. Alitangaza vita vyote kuanzia vya kuanzia uhujumu uchumi, mpaka ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika.
 
Nyerere alikuwa ndio mzalendo wa kweli nchi hii, acha hawa walioanza uzalendo baada ya kupewa madaraka. Mbona hatukuwahi kumuona na ulinzi wa mbwembwe hivyo? Ni hivi hakuna la zaidi, zaidi ya ulevi wa madaraka fullstop.
Kwa mtazamo wangu baada ya Nyerere kuwang’oa wakoloni nchini hakua na maadui wengi sana kama alionao mzee wangu JPM, sababu wakoloni walipoondoka nchini waliacha vibaraka wao (mafisadi).

Hao mafisadi walikua wakicheza mchezo mchafu wakiruhusu mchanga wa makinikia kwenda kupimwa nchini mwao. TL na wafuasi wake walipoona wale mabwana wa Barrick wanabanwa, Mererani kuzungushiwa ukuta, wakasema JPM anafukuza wafadhili.
 
Mlitoa wapi hizo pesa ilihali mlisema JPM amekaza vyuma ??
Sawa hata kama mlijichangisha, mlikubali vipi wakati kila chama hupewa fungu lake kwa ajili ya kampeini za uchaguzi??

Semeni tu ukweli kuwa Bob Amsterdam na mtandao wake ndio wamesupport huo usafiri wa anga.
 
Lema anatoroka kesi yake ya kupanga maandamano. Lazima arudi ili aisaidie police. Kukosa kula kwenye ubunge kumezua nongwa kwa hii saccos.
 
Daah mzee baba una moyo sana,kubishana na hizo Lumumba bots ni bora huo muda ukapige puliiiiiiiii tu ujue 1
 
Umesema Tume ya Haki za Binadamuinaitwa

UNHCR ndio tume ya haki za binadamu?
 

Tumeulizwa wakati hayo yanafanyika waliridhia hivyo wasiandamane? Unakurupuka na kubwabwaja tu. Unatoa majibu ya Changu wa Madoa!
 
Jamaa naona wanajitahidi kila mbinu kuifanya Tanzania ionekane kua si nchi salama...
Time will tell. Hao watakua kama wale wakimbizi wa kizanzibari waliokimbilia UK kuomba ukimbizi wakidai hawapo salama.
Muingereza akafanya uchunguzi wake wa kina na baada ya kugundua uhalisia wengine walirudishwa kwao Zanzibar.
 
Time will tell. Hao watakua kama wale wakimbizi wa kizanzibari waliokimbilia UK kuomba ukimbizi wakidai hawapo salama.
Muingereza akafanya uchunguzi wake wa kina na baada ya kugundua uhalisia wengine walirudishwa kwao Zanzibar.
Dunia inauona ukweli, hali ya usalama wa nchi si jambo la kuficha, hii ni kukosa uzalendo, hakuna yeyote katika nchi zilizoendelea anaweza kufanya haya...Taifa kwanza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…