kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
Mh. mtukufu ndg. Kapteni Komba atamjibu soon, subirini.. :msela:
amechoka huyu komba hana jipya
Mh. mtukufu ndg. Kapteni Komba atamjibu soon, subirini.. :msela:
Nchi haziendelei kwa nyimbo...
Mbunge wa jiji la ARUSHA GOdbless Lema(CHADEMA) ameachia wimbo unaoitwa MSIOGOPE... Unaozungumzia hali halisi ya ukombozi wa taifa hili pamoja na njama chafu zilizo chezwa kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la ARUSHA... Track hiyo ameiachia jana kutoka studio za kameta zilizopo kinondoni dar es salaam akimshirikisha msanii bwana kotide pamoja na swahiba wake wa karibu KILEWO.... Itaanza kuingia mitaani kuanzia jumamosi na nukuu baadhi ya mistari: ni heri ya vita inayo dai haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kuduwaza utu wa mwanadamu.....
Leeema zingatia mgawanyo wa kazi kumbuka mpk sasa hata kuwashukuru wapiga kura bado ghafla umegeuka mwimbaji ! Nooo a big no njoo tukueleze kero bana utajirusha baadaye
hiyo nyimbo iko kwenye maadhi gani?? isije ikawa ni mipashoMbunge wa jiji la ARUSHA GOdbless Lema(CHADEMA) ameachia wimbo unaoitwa MSIOGOPE... Unaozungumzia hali halisi ya ukombozi wa taifa hili pamoja na njama chafu zilizo chezwa kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la ARUSHA... Track hiyo ameiachia jana kutoka studio za kameta zilizopo kinondoni dar es salaam akimshirikisha msanii bwana kotide pamoja na swahiba wake wa karibu KILEWO.... Itaanza kuingia mitaani kuanzia jumamosi na nukuu baadhi ya mistari: ni heri ya vita inayo dai haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kuduwaza utu wa mwanadamu.....
kaimba au kachana?Mbunge wa jiji la ARUSHA GOdbless Lema(CHADEMA) ameachia wimbo unaoitwa MSIOGOPE... Unaozungumzia hali halisi ya ukombozi wa taifa hili pamoja na njama chafu zilizo chezwa kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la ARUSHA... Track hiyo ameiachia jana kutoka studio za kameta zilizopo kinondoni dar es salaam akimshirikisha msanii bwana kotide pamoja na swahiba wake wa karibu KILEWO.... Itaanza kuingia mitaani kuanzia jumamosi na nukuu baadhi ya mistari: ni heri ya vita inayo dai haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kuduwaza utu wa mwanadamu.....
haya maneno yako kwenye wheel cover ya gari ya lema.Mbunge wa jiji la ARUSHA GOdbless Lema(CHADEMA) ameachia wimbo unaoitwa MSIOGOPE... Unaozungumzia hali halisi ya ukombozi wa taifa hili pamoja na njama chafu zilizo chezwa kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la ARUSHA... Track hiyo ameiachia jana kutoka studio za kameta zilizopo kinondoni dar es salaam akimshirikisha msanii bwana kotide pamoja na swahiba wake wa karibu KILEWO.... Itaanza kuingia mitaani kuanzia jumamosi na nukuu baadhi ya mistari: ni heri ya vita inayo dai haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kuduwaza utu wa mwanadamu.....
Nyimbo?? Ameshindwa kuongea mwenyewe mpaka atumie nyimbo?? Huo ni udhaifu
Kuwashukuruje? Nahisi ww ni msengerema.
No haja rap bali alikuwa akitoa speech huku akifuatisha bt... Ukisikiliza kama siyo mwanaharakati lazima utakuwa mwanaharakati wa ukweli kamanda ni kichwa kazungumza mambo ya msingi mle:
ni heri ya vita inayo dai haki na usawa