Girls born in 1990

Yaani wanapenda kuambiwa kile wanachotaka kusikia tu yaani kwao mtu yeyote anayetetea single mothers basi na yeye ni single mother mtu yeyote anayetetea unmarried women basi na yeye ni unmarried woman mtu yeyote anayewaambia ukweli anaonekana anataka usawa au ushindani nao na mtu yeyote anayewaponda anaonekana ameshawahi kutendwa kwenye uchumba au ndoa

Mwanaume mwenzao akianzisha uzi wowote wa kuwaponda wanawake basi wanasema "ukisikia yalaa ujue limempata" yaani furaha yao ni kuona wanawake wote tunakubaliana na pumba na shudu wanazoongea kuhusu sisi halafu mbaya zaidi wanalazimisha ionekane kwamba wanawake tu tuna stress za mapenzi ila wanaume hawana na wala hawajawahi kuwa nazo kabisa ndiyo maana wote wanajitutumua humu

Kuna mmoja humu alinilazimisha nikubali eti kuwa mimi ni single mother nikamwambia oohh kumbe shida yako ni kusikia hivyo tu haya basi mimi ni single mother yaani nilivyomwambia hivyo alifurahi kweli akapata pa kutolea maneno yake nikaamua kujitolea tu kuwa trashcan ya stress zake ili afurahi na roho yake

Maana ndicho wanaume wengi humu wanachokitaka ukiponda tu hoja zao utaitwa majina yote mabaya sasa kwa vile mimi nimeshawajulia hata hawanisumbui nawapa makavu kama kawaida maana najua hata wakiniita hayo majina mabaya hayawezi kubadilisha ukweli wala uhalisia
 
Si ndio hapo sasa
 
Ndicho unachotaka kusikia, haya basi sina mume mimi ni single mother nina watoto kila mmoja na baba yake baba zao walinitenda vibaya hovyo wakaniacha.

Na sasa ninatafuta mwanaume humu JF wa kunioa ili tusaidiane maisha wala hata sina sifa zozote za mwanaume ninayemhitaji nahitaji mwanaume yeyote tu ili mradi awe na uume
 
😀😀😀😀😀
 
I second you!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
By the way uzi unafungwa saa ngapi jamani?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sisi old cargo tutaendelea kuuliza maswali ndivyo tulivyokubaliana.

Sijui wenzetu mmekubaliana vipi ili tufunge uzi.

We are exhausted[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo itakuwa ngumu aise
Je nikikutajia huyo mtu ukawa humjui ? Utachukua hatua gani ?

Kisha nikakwambia "Sababu unae ongea nae hapa ndio muhusika mwenyewe na sina nia mbaya na wewe,naomba unisikilize". Je utanipa nafasi ya kunisikiliza ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…