Girls born in 1990

Hivi mwanamke mnaanza kumhesabia kuwa ni mtu mzima akishafika miaka mingapi?
 
Hivi mwanamke mnaanza kumhesabia kuwa ni mtu mzima akishafika miaka mingapi?

if you have already hit 28+ wewe tayari ni gazeti la jioni na graph yako ina -ve slope hata ufanye nini.[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Mwambie huyu aliyevunja ungo juzi..! Festiiya huwa wanajisahau Ngoja malize chuo 2021, ataelewa haya tusemayo.
 
Yaani wanaume bwana mnalazimisha kwamba kila mwanamke mwenye umri mkubwa na hajaolewa basi ana mawazo na maumivu! SMH!

ahahaha... mbona kama umeandika kwa uchungu sana!!?[emoji23][emoji23]
 
Nani mimi au? Uchungu utoke wapi wakati mimi nina ndoa my dear? Nawaonea tu huruma hawa wanawake wanaokubali to dance to your tunes na kuamini kila maneno mnayowaambia wafalme wa dunia hii! Hehehehe I can imagine them not living their best life just because they want to be called wife materials!
ahahaha... mbona kama umeandika kwa uchungu sana!!?[emoji23][emoji23]
 
kwa mfano kama wewe unapenda mwanaume akujibuje hilo swali ili uridhike?
Kama unajiona umezubaa zubaa huna mbinu, kuwa tu mkweli. Ila kama mwanaume umefanya research yako na hutaki kukutana na hili swali. Basi unaeza ukaweka appointment katika kitu anachofanya bidada, kama mfanyabiashara, mwambie tu unataka kununua hiyo bidhaa hata kama hutaki.

Kama yuko kwenye professional fkani tengeneza tatizo linaloweza tatuliwa na hiyo kazi yake. Tengeneza mazoea nae kwa vyovyote vile.

Ila sio kama mnavyotaka nyie. Slope!
 
Just imagine not living your best life to be someone's wife. And it doesn't happen. Kwasababu muoaji hana masharti mengi kama mganga wa kienyeji.
 
Utasikia ooh ulinipa mbagala wakati mbagala hujawahi fika.
Mwanaume anaepiga simu unamuuliza namba umetoa wapi anajielezea mbona anasikilizwa?
Yapo yale mabolizozo anakwambia nimepewa tu na mtu nataka tuonane tuongee vizuri.
Zama hizi za kutekana uanze kumsikiliza mwanaume asieweza kujielezea inawezekana kweli?
Ukianza kukata viunoo tu nakata simu na sikupokelei mpaka ujue uanaume wako kwa kujiamini uelezee namba umetoa wapi
 
Na hao wanawake hawapo humu. Wakawashike masikio dada zao waliokata tamaa kisa ndoa ndio watasikiliza simu hata zinazopigwa na vichaa ili wasifukuze they Mr. Rights.
Kwa sisi hata tugonge 40 tutauliza tu namba zilipotoka na hatuwezi ishi kuwafurahisha ili tuitwe wife material
 
Jina la thread inabidi liwe NAMBA YANGU UMETOA WAPI maanake ndio kinachojadiliwa.
 
Jina lako na mwaka unaozungumziwa kwenye thread vinaendana....
 
Humu wanawake wote ni smart,wameolewa na wanaume wa maana na hata ambao hawajaolewa wana waume watarajiwa smart na wenye pesa. Wacha tukashike masikio waliokata tamaa kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…