mimi sijambo .. hata nikipiwa nyingi kiasi gani na hata ya mwanaume amabaye simpendi.. AISEEE SIWEZI MPA MWANAUME SIWEZI LOH.. LAKI NNE ? NO NO NO
Ukifikishwa utatoa tu.Never say never.
mimi sijambo .. hata nikipiwa nyingi kiasi gani na hata ya mwanaume amabaye simpendi.. AISEEE SIWEZI MPA MWANAUME SIWEZI LOH.. LAKI NNE ? NO NO NO
namwongezea HONGERA KUBWA.. DUH
mimi sijambo .. hata nikipiwa nyingi kiasi gani na hata ya mwanaume amabaye simpendi.. AISEEE SIWEZI MPA MWANAUME SIWEZI LOH.. LAKI NNE ? NO NO NO
mimi sijambo .. hata nikipiwa nyingi kiasi gani na hata ya mwanaume amabaye simpendi.. AISEEE SIWEZI MPA MWANAUME SIWEZI LOH.. LAKI NNE ? NO NO NO
nawempe. Ngomanisiwachoshe, ni hivi wakati nam approach mwaka 2011 tukiwa chuo alikua na jamaa yake ambaye hatukua nae chuoni, ila kwasababu mimi ni king`ang`anizi sana ilifika mahali akanikubali, jamaa akipiga simu nikiwa nae nakaa kimya wanaongea, akikata tunaendelea kufanya yetu.
Nilivyomaliza undergraduate degree mwaka 2012 yeye akaenda chuo kingine (sitakitaja) kuendelea na degree couse chuo nilichokua nae yeye alikua anasoma diploma.
Ni mzuri sana kwa kweli, mzuri kila idara, nilikua nikisifiwa na watu hadi mabinti wenzie kila nilikopita nae hali iliyonifanya nimpende zaidi ukiachilia mbali na upole, ucha mungu na ukarimu wake, kwa kifupi alikua na sifa za kuitwa mke, hata aliponishauri niliona tija kwenye ushauri wake.
Sasa wakati yupo hiko chuo alichoenda kujiendeleza tukiwa na mawasiliano mazuri tu, kuna siku yule jamaa yake alimtembelea akanishtukia kwamba natoka nae, akanipigia kwa no ya huyo msichana na kujitambulisha kisha kuniuliza ila nikakana katakata na kumwambia sisi ni marafiki na namfahamu yeye kama shem wangu, jamaa akafurahi sana!
Baada ya two days msichana akanipigia na kunishukuru huku akinishangaa kwa kumjibu jamaa vile. Siku mind couse jamaa alinitangulia kwamsichana alinieleza bayana.
Baada ya hapo tukawa na mawasiliano ya kawaida. Siku isiyo na jina msichana akanipigia analia, kumbe kagombana na jamaa vikali baada ya kumshauri jamaa wanunue kiwanja kwa hela ya mkopo aliyochukua huku jamaa akipinga na kutaka gari.
Nikamtuliza sana, akawa daily ananipigia. Huku na kule akaniomba msamaha akinisihi turudiane, kwasababu nilikua nampenda nikakubali wkt huo nikaweka spy chuoni kwao amchunguze, ikawa inasemekana ametulia ingawa anasumbuliwa sana.
Juzi kati wakati yuko field akaja kwangu, nikakaa nae for two weeks, akanitambulisha kwa mama yake ingawa ni kwa njia ya simu na mimi nikamtambulisha kwa wazee wangu live na wakampokea. Akanishauri tutafute kiwanja na yeye atachangia hela, tena tutafute mkoa nitakaopenda kuishi mimi.
Akarudi zake field, shirika alilokua anafanya field likampa afanye programme flani maalum kutokana na ufanisi wake kazini na wakamlipa laki kila siku for 10 consecutive days.
Cha kushangaza sasa, jana kanitumia laki nne bila kumuomba, nimepigwa na butwaa kwani hii sio kawaida kwa mabinti wa karne hii, eti jamani mkihusianisha na scenario niliyowapa, hapa kuna mapenzi.
wewe mwanamke wewe...... Habari yako lakini.....mimi sijambo .. Hata nikipiwa nyingi kiasi gani na hata ya mwanaume amabaye simpendi.. Aiseee siwezi mpa mwanaume siwezi loh.. Laki nne ? No no no
Ucha Mungu wake ulikuwa wapi wakati aliweza kuwachanganya wanaume wawili kwa kipindi kimoja?
wewe mwanamke wewe...... Habari yako lakini.....
Akili yangu imekataa kukubali
Poa shosti.... nimekumisi hadi naumwa...!!!!salama sana za kwako
Poa shosti.... nimekumisi hadi naumwa...!!!!
Cha kushangaza sasa, jana kanitumia laki nne bila kumuomba, nimepigwa na butwaa kwani hii sio kawaida kwa mabinti wa karne hii, eti jamani mkihusianisha na scenario niliyowapa, hapa kuna mapenzi.
Ukitaka jibu la mtihani .. Bila woga na kama chizi mpigie simu yule shemeji yako wa uongo na umwambie huyo bint amelalamika kwako kuwa wamegombana na pia kwa sasa yuko free..hana boyfriend etc... Then angalia reaction ya bint... akifurahia hatua hiyo unaweza songa mbele.. akikasirika basi huna chako..rudisha hela..