Girlfriend wangu kanitumia hela bila kumuomba

Girlfriend wangu kanitumia hela bila kumuomba

Mkuu kupewa papuchi kawaida sana nowadays, issue ni kupewa pesa, huoni threads nyingi humu JF ni za madem wakihitaji kuhongwa na majamaa zako, sasa dem akikupa pesa lzm upigwe na butwaa! It is abnormal...

Ukipewa bure nawe toa bure. Kahongwa ma jamaa kaona akukatie kidogo.
 
Tyta kakangua hii utu labda unatuzingua tu.
 
Last edited by a moderator:
Cha kushangaza sasa, jana kanitumia laki nne bila kumuomba, nimepigwa na butwaa kwani hii sio kawaida kwa mabinti wa karne hii, eti jamani mkihusianisha na scenario niliyowapa, hapa kuna mapenzi au?

Ukitaka jibu la mtihani .. Bila woga na kama chizi mpigie simu yule shemeji yako wa uongo na umwambie huyo bint amelalamika kwako kuwa wamegombana na pia kwa sasa yuko free..hana boyfriend etc... Then angalia reaction ya bint... akifurahia hatua hiyo unaweza songa mbele.. akikasirika basi huna chako..rudisha hela..
 
Sa si ndo ya kiwanja, hapo kakupa lak nne we ongezea mill nne mununue kiwanja chenu loh...
 
Ni mzuri sana kwa kweli, mzuri kila idara, nilikua nikisifiwa na watu hadi mabinti wenzie kila nilikopita nae hali iliyonifanya nimpende zaidi ukiachilia mbali upole, ucha Mungu na ukarimu wake, kwa kifupi alikua na sifa za kuitwa mke, hata aliponishauri niliona tija kwenye ushauri wake.

Mcha Mungu anafanya zinaa? tena kwa kuwapanga? huyo ni mcha shetani si mcha Mungu. Kumbuka hilo.
 
asee unategwa hapo akuone unatumiaje pesa... ngoja siku akuombe japo buku 50 alafu useme huna... ole wako... narudia tena OLE WAKO..!!!!
 
Mkuu jua limeshabadili uelekeo! Fanya yako mkuu
 
Nisiwachoshe, ni hivi.. wkt nam approach mwaka 2011 tukiwa chuo alikua na jamaa yake ambaye hatukua nae chuoni, ila kwasababu mimi ni king`ang`anizi sana ilifika mahali akanikubali, jamaa akipiga simu nikiwa nae nakaa kimya wanaongea, akikata tunaendelea kufanya yetu!

Nilivomaliza undergraduate degree mwaka 2012 yeye akaenda chuo kingine (sitakitaja) kuendelea na degree coz chuo nilichokua nae yeye alikua anasoma diploma.

Ni mzuri sana kwa kweli, mzuri kila idara, nilikua nikisifiwa na watu hadi mabinti wenzie kila nilikopita nae hali iliyonifanya nimpende zaidi ukiachilia mbali upole, ucha Mungu na ukarimu wake, kwa kifupi alikua na sifa za kuitwa mke, hata aliponishauri niliona tija kwenye ushauri wake.

Sasa wkt yupo hiko chuo alichoenda kujiendeleza tukiwa na mawasiliano mazuri tu, kuna siku yule jamaa yake alimtembelea akanishtukia kwamba natoka nae, akanipigia kwa no ya huyo dem na kujitambulisha kisha kuniuliza ila nikakana katakata na kumwambia sisi ni marafiki na namfahamu yeye kama shem wangu, jamaa akafurahi sana!

Baada ya two days dem akanipigia na kunishukuru huku akinishangaa kwa kumjibu jamaa vile. Siku mind coz jamaa alinitangulia kwa dem na dem alinieleza bayana.

Baada ya hapo tukawa na mawasiliano ya kawaida. Siku isiyo na jina dem akanipigia analia, kumbe kagombana na jamaa vikali baada ya kumshauri jamaa wanunue kiwanja kwa hela ya mkopo aliyochukua huku jamaa akipinga na kutaka gari.

Nikamtuliza sana, akawa daily ananipigia. Huku na kule akaniomba msamaha akinisihi turudiane, kwasababu nilikua nampenda nikakubali wkt huo nikaweka spy chuoni kwao amchunguze, ikawa inasemekana ametulia ingawa anasumbuliwa sana.

Juzi kati wkt yuko field akaja kwangu, nikakaa nae for two weeks, akanitambulisha kwa mama yake ingawa ni kwa njia ya simu na mimi nikamtambulisha kwa wazee wangu live na wakampokea. Akanishauri tutafute kiwanja na yeye atachangia hela, tena tutafute mkoa nitakaopenda kuishi mimi.

Akarudi zake field, shirika alilokua anafanya field likampa afanye programme flani maalum kutokana na ufanisi wake kazini na wakamlipa laki kila siku for 10 consecutive days.

Cha kushangaza sasa, jana kanitumia laki nne bila kumuomba, nimepigwa na butwaa kwani hii sio kawaida kwa mabinti wa karne hii, eti jamani mkihusianisha na scenario niliyowapa, hapa kuna mapenzi au?
nenda kanywe bia hiyo pesasio ya kiwanja.kwasafari ya mapenzi we bado sana.punguza kufungua fungua threadhovyo kwa mambo ya kibwege km haya.
 
Akili za baadhi wanaume wakati mwingine sijui zikoje, yaani wewe unajisifu kabisa na kumuona huyo mwanamke ni mwaminifu mtu anayewachanga wanaume wawili, nyie wawili mnajuana je hao wenzenu msiowajua??????? Dah!! eti akatitambulisha kwa mama yake na mimi nikamtambulisha wazazi wangu, are you serious????????? Hata pesa alizokutumia ni hongo kutoka kwa boss wa hapo anapofanya field, mmnasikitisha sana. kutwa mnashinda kulalamika wanawake sio waaminifu wakati nyie wenyewe ndio mnatengeza kamtandao CHUKUA HATUA JITOE KWENYE MTANDAO!!!!!!
 
sifa ya mwanamke akishajua kuwa mwanaume mbeleni atakuwa ana future nzuri ya maisha basi atakufanyia kila jambo zuri ikiwemo pesa nk lakini hivyo vitu vyote alivyokugharamia vitarudi mkiingia ndoani,KUNA MSEMO UNASEMA HELA YA MWANAMKE HAILIWI HIVI HIVI JUAKUWA ITARUDI
 
Back
Top Bottom