Ghosting : Have u ever been ghosted? Tell us ur experience

Ghosting : Have u ever been ghosted? Tell us ur experience

Hapana kwa nini umehisi hivyo
Nahisi kukufahamu kwa jinsi mwandiko wako ulivo.

Nisahihishe kama nimekosea jina lako linaanzia na B ,unaishi kati ya Dar ,Morogoro na Dodoma mikoa hyo yote mitatu, pia umemaliza degree ya pili hivi karibuni mengine, Utaniambia Pm
 
Ladyred hii kitu huwa wanafanya zaid wadada. Mara nyingi imenitokea after first date.
Unamchukua dada unampeleka date ya nguvu anafurahia ..ana enjoy. Then next day anakata mawasiliano na ww.

Unashindwa kuelewa nn kimetokea. No phone calls. Ukimtext hajib.. ukipiga simu hajibu.

Si kitu kizur kwakweli. Kama mtu hukumpenda. Mwambie kiutu uzima kuwa unashukuru for date lakin hujafeel upendo wowote kutoka kwake.
Hata kama mtu anaumia lakin atleast kuna relief flan ya yeye kujua kinachendelea.
Kuna mdada mmoja aliwahi kuniambia mtu akimtoa out halafu asimpe hela ndio mwisho hatokaa apokee simu yake wala kujibu SMS, isijekuwa ulikutana na wa hivyo
 
Nahisi kukufahamu kwa jinsi mwandiko wako ulivo.

Nisahihishe kama nimekosea jina lako linaanzia na B ,unaishi kati ya Dar ,Morogoro na Dodoma mikoa hyo yote mitatu, pia umemaliza degree ya pili hivi karibuni mengine, Utaniambia Pm
Hahaha duhh..basi tunafanana mwandiko

Nna digrii moja tu na nmemaliza miaka mingi kdg ishapita...
 
Hahaha duhh..basi tunafanana mwandiko

Nna digrii moja tu na nmemaliza miaka mingi kdg ishapita...
Mtakuwa mnafanana kwa kiasi kikubwa sana, nitamuuliza siku moja,though upelelezi wangu umenipa jibu
 
Back
Top Bottom