Ghosting : Have u ever been ghosted? Tell us ur experience

Ghosting : Have u ever been ghosted? Tell us ur experience

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,699
Ghosting is an act of ending a personal relationship with a lover or partner without any apparent warning or prior notice.

It is normally characterised with stopping all kind of communication with an intended person. This may include changing ur numbers or never respond to his or her calls. However it does not include blocking that person from ur communications.

The idea is just to leave a person without telling them that u have left them and without giving them the reason as to why u have left them.


Ghosting ni kitendo cha kumuacha mpenzi bila kumtaarifu kuwa umemuacha. U don't need to tell him/her kwanini umemuacha kwa sababu lengo lako ni kumuacha bila yeye kujua kwamba umemuacha.

Mara nyingi tendo hili huwa linaambatana na vitendo kama kutokupokea simu ya mhusika, kutokujibu meseji zake Kwenye simu na mitandao ya kijamii pamoja na kubadilisha namba za simu.

Haishauriwi kumblock either Kwenye simu au social media kwa sababu ukimblock anaweza kung'amua mapema kwamba tayari umemuacha ilihali lengo lako wewe ni kumuacha bila yeye kujua kama umemuacha wala kumpa sababu kwanini umemuacha.

Wataalamu wa Saikolojia wanasema ghosting is the most cruel thing to do to ur lover. Ni jambo linalo mtweza sana mtu na kumpa jakamoyo la kutisha.

Tatizo haswa huwa linakuwa sio kuachwa but staili iliyo tumika kuachwa.

Watu wengi wanaokuwa ghosted huwa wanaishi na trauma ya kuwa ghosted kwa muda mrefu sana. Pia huwachukua muda mrefu sana kuingia katika mahusiano mapya.

Tafiti zinaonyesha pia mauaji mengi yasababishwayo na wivu katika mapenzi huwa yanatokea baada ya wapenzi kuachana. Kati ya hayo, idadi kubwa ni yale ambayo mtu kamuacha mpenzi wake kwa njia ya ghosting.

Fikiria upo na mpenzi wako wa muda mrefu. Uhusiano wenu umefikia katika uchumba kisha ghafla ana ku ghost only for you to learn after sometimes that they are getting married to another persons. Ni jambo ambalo watu wengi hawana uwezo wa kuli handle.

Ghosting is not limited only to lovers . A person can ghost his friends ( normally bad friends) or even a family.


Have u ever been ghosted? Have u ghosted a person ? Tell us ur experience.
 
Ni nzuri kumfanyia mtu..ni rahisi pia km ukitaka kurudi unaanza tu na salamu afu unajitetea ulitingwa na ubize na nini,maisha nk

Na mbaya sana kufanyiwa hasa km unamjali huyo mtu...

Ni mbaya zaidi pale yule aliyem'ghost mwenzake yakibuma huko alikokua na akarudi akijua the coast is clear kumbee aliekua ghosted kashamove on pia

Dawa ya ghosting:ukibaini mtu kala kobis na wewe unganisha...reverse psychology itamtesa yeye na si wewe kwa kua alitegemea u'react juu ya ukimya wake

Life is a game ..learn the tricks and play ur cards wisely
 
I ghost watu ambao tuliachana nimeshamove on wanarudi na salamu like nothing happened
I ghost mtu ambae simfeel tu js damu haziendani ht km hatujakosana nikiona sina story basi kimyaaa

Ni kimyaa tuu hadi salamu na simu zao zikate automatically
Tusije peana murdercase buree esp ma ex
 
Ni nzuri kumfanyia mtu..ni rahisi pia km ukitaka kurudi unaanza tu na salamu afu unajitetea ulitingwa na ubize na nini,maisha nk

Na mbaya sana kufanyiwa hasa km unamjali huyo mtu...

Ni mbaya zaidi pale yule aliyem'ghost mwenzake yakibuma huko alikokua na akarudi akijua the coast is clear kumbee aliekua ghosted kashamove on pia

Dawa ya ghosting:ukibaini mtu kala kobis na wewe unganisha...reverse psychology itamtesa yeye na si wewe kwa kua alitegemea u'react juu ya ukimya wake

Life is a game ..learn the tricks and play ur cards wisely
Yeah sure ukireverse ataumia sana but tatizo ni pale anapo amua kuku ghost for good yani lengo lake sio kukuumiza. Wengine anakughost kwa sababu anajua akikwambia Kwanzaa hutokubali, utamsumbua au utaumia sana .Sasa yeye hataki kukuumiza ndo maana kakuacha kimya kimya
 
Mi alinighost nami nikamghost dadeki, siku nikamkumbuka akajib nikamwambia nimekumis akajib nitumie bas kiasi kadhaa dk mbili nikamtumia akasema asante nikajib okey alafu nikaendeleza ghosting nishazoea mwanzo alinipa wakati mgumu ila nilivyo amua kumbe ni simple tu
 
Hata humu wapo wengi tu nimewapotezea kwa roho safi kbs
 
Yeah sure ukireverse ataumia sana but tatizo ni pale anapo amua kuku ghost for good yani lengo lake sio kukuumiza. Wengine anakughost kwa sababu anajua akikwambia Kwanzaa hutokubali, utamsumbua au utaumia sana .Sasa yeye hataki kukuumiza ndo maana kakuacha kimya kimya
Binadamu tuna mioyo
Esp mtu mkishaexperience kitu flani pamoja
Labda mtu aamue anabadili maisha mf kutokana na maamuzi makubwa maishani mf ndoa ama kuhama hilo eneo mazima nk
 
Ladyred hii kitu huwa wanafanya zaid wadada. Mara nyingi imenitokea after first date.
Unamchukua dada unampeleka date ya nguvu anafurahia ..ana enjoy. Then next day anakata mawasiliano na ww.

Unashindwa kuelewa nn kimetokea. No phone calls. Ukimtext hajib.. ukipiga simu hajibu.

Si kitu kizur kwakweli. Kama mtu hukumpenda. Mwambie kiutu uzima kuwa unashukuru for date lakin hujafeel upendo wowote kutoka kwake.
Hata kama mtu anaumia lakin atleast kuna relief flan ya yeye kujua kinachendelea.


Ni nzuri kumfanyia mtu..ni rahisi pia km ukitaka kurudi unaanza tu na salamu afu unajitetea ulitingwa na ubize na nini,maisha nk

Na mbaya sana kufanyiwa hasa km unamjali huyo mtu...

Ni mbaya zaidi pale yule aliyem'ghost mwenzake yakibuma huko alikokua na akarudi akijua the coast is clear kumbee aliekua ghosted kashamove on pia

Dawa ya ghosting:ukibaini mtu kala kobis na wewe unganisha...reverse psychology itamtesa yeye na si wewe kwa kua alitegemea u'react juu ya ukimya wake

Life is a game ..learn the tricks and play ur cards wisely
 
I ghost watu ambao tuliachana nimeshamove on wanarudi na salamu like nothing happened
I ghost mtu ambae simfeel tu js damu haziendani ht km hatujakosana nikiona sina story basi kimyaaa

Ni kimyaa tuu hadi salamu na simu zao zikate automatically
Tusije peana murdercase buree esp ma ex
Lady red ulishawahi kumpotezea mtu ambae amekutoa out? Yaan yule ambae mkaka ambae hana amekutoa out for date. The after date ukampotezea
 
Lady red ulishawahi kumpotezea mtu ambae amekutoa out? Yaan yule ambae mkaka ambae hana amekutoa out for date. The after date ukampotezea
Ile mazima kabisa not really
Used kujieleza kidogo like m not ready..we take it slow etc

Mazima ni kwa mtu ambae ashapewa chance afu akawa msumbufu
 
Binafsi mm ni grown up guy. So huwa nina prefer mtu aniambie what going on.
Ghosting naweza lakin sipend maana sion kama ni civil way ya kumkataa mtu.
Binafs kabla ya kumkataa mtu huwa namuonya namwambia kabisa kuwa dont do this ..n that. Au mm na ww basi..
Lakin kuna ile mtu anakughost hujui sababu.. hujui nn kinaendelea? Huwa inasumbua sana.


Ila na ww ukimpotezea. Ndio ile wanaona kama wamemiss itu. Kwann na ww umewapotezea. Wanarudikwa kasi ya 4g
 
Ladyred hii kitu huwa wanafanya zaid wadada. Mara nyingi imenitokea after first date.
Unamchukua dada unampeleka date ya nguvu anafurahia ..ana enjoy. Then next day anakata mawasiliano na ww.

Unashindwa kuelewa nn kimetokea. No phone calls. Ukimtext hajib.. ukipiga simu hajibu.

Si kitu kizur kwakweli. Kama mtu hukumpenda. Mwambie kiutu uzima kuwa unashukuru for date lakin hujafeel upendo wowote kutoka kwake.
Hata kama mtu anaumia lakin atleast kuna relief flan ya yeye kujua kinachendelea.
Hiyo haina nguvu sana. Noma ni pale umekaa na mtu kwa miaka minne halafu ana kughost
 
Hata humu wapo wengi tu nimewapotezea kwa roho safi kbs
Mmmh hivi kumbe humu watu mnatafuta wapenzi mnajuana loh, sasa kwa nini umpotezee wakati wewe ndio ulimwendea pm( mtongozo) au yeye ndo anakuwa alikufata pm? Inakuwa vip yaan??
 
And hapo ukisema let take it slow. Inamaana mawasiliano mnapunguza kabisa yaani. Hujib call wala text zake.
What does it mean mwanamke akikufanyia hivyo?
Ile mazima kabisa not really
Used kujieleza kidogo like m not ready..we take it slow etc

Mazima ni kwa mtu ambae ashapewa chance afu akawa msumbufu
 
Aisee akughost on early stages kama ushamtunuku kipochi manyoya inauma sana na inakuacha na maswali yasiyo na majibu damn
 
Back
Top Bottom