pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Acha kupenda umbea wa kike, nioneshe ni wapi hapo niliposema kwamba ilionekana kote duniani.Hajajua kuwa hiyo huwa Inaonekana kwa nchi husika tu
Acha kupenda umbea wa kike, nioneshe ni wapi hapo niliposema kwamba ilionekana kote duniani.Hajajua kuwa hiyo huwa Inaonekana kwa nchi husika tu
Mama Ngina ndo anawasomesha namba humo humo ndani ya Kunyaland...Ila wanaendelea kuhakikisha kwamba mnaisoma namba tangu enzi za Nyerere.
Father Lawd! Ignorance everywhere! Consulates in UAE always request Burj Khalifa to display their National flags during the their Independence day celebrations…but is it free!Kuna wakikuyu wamesha pitishia pesa Yao ndefu. Chezea wazee wa fursa wewe.
Dah! So Sad,!!!! Pole mkuuNadhani limbukeni ni wewe hapo, bendera kuonekana dk 3 kuna faida gani hapo.
Uliposema mnaeneza kiswahili, labda kama mnaieneza hapo hapo kenya.Acha kupenda umbea wa kike, nioneshe ni wapi hapo niliposema kwamba ilionekana kote duniani.
Ujanja ndio imewafanya mkakosa kujulikana duniani?
Kwahivyo wakenya pekee yake ndio waliiona kwasababu ilionekana Kenya? Akili yako ni local sana kama za kuku wa kienyeji.Uliposema mnaeneza kiswahili, labda kama mnaieneza hapo hapo kenya.
Kinachosababisha watu waseme hivyo ni kwa sababu huwa mnaleta hizo habari humu huku mkikejeli nchi zingine za Africa.Hata Mkenya akishinda Nobel prize in physics utaskia wajinga wakiuliza "itawasaidia aje Wakenya?"
Akili yako fupi inakutuma kutuambia hiyo kitu imeonekana kote duniani ndio maana ukaandika huo utumbo hapo juu bila kujua imeoneonekana hapo kenya tu tena kwa waliotumia Search engine ya google kwa siku hiyo 😂😂😂Kwahivyo wakenya pekee yake ndio waliiona kwasababu ilionekana Kenya? Akili yako ni local sana kama za kuku wa kienyeji.
Aliyefungua huu uzi si Mtz mwenzako?Kinachosababisha watu waseme hivyo ni kwa sababu huwa mnaleta hizo habari humu huku mkikejeli nchi zingine za Africa.
Analipwa shilingi ngapi? Tuna afueni zaidi yenu lakini, maanake Kenya hatuliwi kwa umbumbumbu kama wa viongozi wa sisiemu yenu.Mama Ngina ndo anawasomesha namba humo humo ndani ya Kunyaland...
Tangazeni mpate pesa ya bure kumlipa hadi mwisho wa dahari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamjibu mleta uzi nimejibu quote ya mchangiaji.Aliyefungua huu uzi si Mtz mwenzako?
Haha! Ndio kawaida ya mazero brain wa Lumumba, kwenye jambo wao huwa wanawalaumu wakenya na warwanda.Aliyefungua huu uzi si Mtz mwenzako?
Father Lawd! Ignorance everywhere! Consulates in UAE always request Burj Khalifa to display their National flags during the their Independence day celebrations…but is it free!