barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kuna faida gani kuitwanga majini karibu milioni hizo huku kibera kuna vifo?Kwwli wewe ni mbulula zaidi ya makonda yani wewe unaona hapo hamna faida yoyote itakayoipata kenya??
Kuna faida gani kuitwanga majini karibu milioni hizo huku kibera kuna vifo?Kwwli wewe ni mbulula zaidi ya makonda yani wewe unaona hapo hamna faida yoyote itakayoipata kenya??
Sasa mbn ya tz hatujawai iona ww ndo mshamba.View attachment 1291471
Ushamba unawasumbua ndio maana mnashangaa. Hapo katika ghorofa la Burji al Khalifa ni jengo la kitalii kwahivo karibu nchi zote huwekwa picha za bendera za nchi zao kama unavojua Dubai ndio kioo cha utalii duniani hivi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Google pia walikuwa na 'doodle' ya bendera ya Kenya kwenye homepage yao hiyo jana. Kisha wakatoa maelezo kidogo kuhusu maana ya neno Jamhuri. Kiswahili tutaendelea kukieneza tu, hata kama jamaa wa domo domo hawatapendezwa.
Kuhusu hiyo Google Doodle ambayo google huwa wanaweka kwa nchi husika kukiwa na tukio maalum au.
...na ndege zao zimekamatwa na mkulima.Majirani zetu acheni kujitutumua,baada ya siku mbili utasikia walikopa na wanadaiwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupanick.Hiyo ilikuwa kenya tuu bro,
😟😟, Go back to school and you'll know it's benefits
Punguza kutumia makwapa kufikiria, yaani hadi mtu ambaye hajaenda shule anaweza kungamua na kuona hakuna faida yoyote hapo,
At least wangeweka labda kivutio chochote cha utalii lakini bendera tu 😂😂😂
Ni ujinga huu. Mmeshindwa promote vitu vya kudumu?Ingekuwa Rwanda wangesifiwa but juuu ni Kenya na Uganda watu watasema ni ujinga...tourism marketing lazma zifanywe Kwa Kila mbinu
Alafu kuna yale makabila madogo kiakili hayajaona hili bali yanapiga mayarumbeta ya eti utalii..Kuna wakikuyu wamesha pitishia pesa Yao ndefu. Chezea wazee wa fursa wewe.
Duh.Google pia walikuwa na 'doodle' ya bendera ya Kenya kwenye homepage yao hiyo jana. Kisha wakatoa maelezo kidogo kuhusu maana ya neno Jamhuri. Kiswahili tutaendelea kukieneza tu, hata kama jamaa wa domo domo hawatapendezwa.
Kwwli wewe ni mbulula zaidi ya makonda yani wewe unaona hapo hamna faida yoyote itakayoipata kenya??
Wajinga sana hawa alafu wanalazimisha ionekane ina faidaKuna wakikuyu wamesha pitishia pesa Yao ndefu. Chezea wazee wa fursa wewe.
Hajajua kuwa hiyo huwa Inaonekana kwa nchi husika tu 😂😂😂Duh.
Kweli nimeamini wakenya wenye akili are now a thing of the past.
Ila wanaendelea kuhakikisha kwamba mnaisoma namba tangu enzi za Nyerere.Duh.
Kweli nimeamini wakenya wenye akili are now a thing of the past.