LOVINTAH GYM
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 459
- 643
TOTAL COST
Variable cost + Fixed cost= Total cost
Total cost ni gharama za uzalishaji wa kitu chochote
Total cost imeundwa na gharama ambazo hazibadiliki hata ukizalisha kidogo na gharama ambazo zinabadilika kulingana na idadi ya uzalishaji.
Fixed cost
Hizi ni gharama ambazo hazibadiliki katika uzalishaji wa kitu chochote.
Huwezi kuzikwepa.
Uzalishe kitu kimoja au 10 gharama ni ile ile, uuze au usiuze gharama ni ile ile.
Mfano:
1. Machinga auze au asiuze ni lazima alipe kodi ya manispaa, awe na mzigo wa million 1 au laki 2 bei ni ile ile.
2. Wakala ni lazima alipe kodi yake ya mwezi haijalishi amepata wateja au hajapata wateja, haijalishi mtaji wake ni laki 8 au million 50.
3. Muuza bidhaa wa insta, haijalishi ameongeza mzigo au hajaongeza, ameuza au hajauza lakini gharama za matangazo ni zile zile.
Variable cost
Hizi ni gharama ambazo hubadilika kutokana na uzalishaji.
Mfano:
1. Muuza mihogo, ata gharamika kununua mafuta ya ziada ili akaange mihogo mingi zaidi.
2. Sales person, atalipwa comission kulingana na mauzo atakayofanya.
Fixed cost ndio hufanya watu wengi kushindwa kuanzisha biashara kubwa, maana hizi ni gharama ambazo kama mtaji wako ni mdogo au uzalishaji wako ni mdogo basi lazima utafeli.
Mfano:
Unataka kufungua biashara ya pharmacy
Fixed cost zake kwa mwezi:
Kodi, umeme, kulipia cheti cha mphamacia, kumlipa pharmacist wa kuuza dawa
Variable cost zake kwa mwezi:
Commission kwa muuzaji, cost ya delivery kwa mteja, mifuko ya kuwekea dawa nk
Profit = Sales - Total cost
Karibuni kuchambua fixed na variable cost za biashara nyengine
#sales #pharmacy #pharmacist #cost #totalcost #fixedcost #variablecost #profit #smallbusiness #startup
Variable cost + Fixed cost= Total cost
Total cost ni gharama za uzalishaji wa kitu chochote
Total cost imeundwa na gharama ambazo hazibadiliki hata ukizalisha kidogo na gharama ambazo zinabadilika kulingana na idadi ya uzalishaji.
Fixed cost
Hizi ni gharama ambazo hazibadiliki katika uzalishaji wa kitu chochote.
Huwezi kuzikwepa.
Uzalishe kitu kimoja au 10 gharama ni ile ile, uuze au usiuze gharama ni ile ile.
Mfano:
1. Machinga auze au asiuze ni lazima alipe kodi ya manispaa, awe na mzigo wa million 1 au laki 2 bei ni ile ile.
2. Wakala ni lazima alipe kodi yake ya mwezi haijalishi amepata wateja au hajapata wateja, haijalishi mtaji wake ni laki 8 au million 50.
3. Muuza bidhaa wa insta, haijalishi ameongeza mzigo au hajaongeza, ameuza au hajauza lakini gharama za matangazo ni zile zile.
Variable cost
Hizi ni gharama ambazo hubadilika kutokana na uzalishaji.
Mfano:
1. Muuza mihogo, ata gharamika kununua mafuta ya ziada ili akaange mihogo mingi zaidi.
2. Sales person, atalipwa comission kulingana na mauzo atakayofanya.
Fixed cost ndio hufanya watu wengi kushindwa kuanzisha biashara kubwa, maana hizi ni gharama ambazo kama mtaji wako ni mdogo au uzalishaji wako ni mdogo basi lazima utafeli.
Mfano:
Unataka kufungua biashara ya pharmacy
Fixed cost zake kwa mwezi:
Kodi, umeme, kulipia cheti cha mphamacia, kumlipa pharmacist wa kuuza dawa
Variable cost zake kwa mwezi:
Commission kwa muuzaji, cost ya delivery kwa mteja, mifuko ya kuwekea dawa nk
Profit = Sales - Total cost
Karibuni kuchambua fixed na variable cost za biashara nyengine
#sales #pharmacy #pharmacist #cost #totalcost #fixedcost #variablecost #profit #smallbusiness #startup