Gharama za ujenzi tukutane hapa

Gharama za ujenzi tukutane hapa

Lee Swagger

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
1,070
Reaction score
1,816
Wadau mimi ni mpenzi wa ujenzi sana ningependa kwenye huu uzi tujadili mambo mbali mbali na gharama na mitindo mbali mbali ya ujenziii.....

Tuanze na hii nimependa sana huu ujenzj wataalamu njooni hapa tuhadili...........

Nitapost hapa design mbali mbaliii........


Tuanze na hii...........
FB_IMG_1522252254972.jpg
FB_IMG_1522252259041.jpg
FB_IMG_1522252262026.jpg
FB_IMG_1522252265412.jpg
 
Hapo naona container 6, kama kila container ni Tsh 8m jumla inakua 48m, kusafirisha container moja lak 7. Kwa hiyo hizo container mpka kufika site roughly ni kama 53m.
Sina hakika sana na hesabu na bei zangu, nimejaribu kutoa picha ya juu juu tu. Ila nahisi sijaenda mbali na ukweli.
 
Hapo naona container 6, kama kila container ni Tsh 8m jumla inakua 48m, kusafirisha container moja lak 7. Kwa hiyo hizo container mpka kufika site roughly ni kama 53m.
Sina hakika sana na hesabu na bei zangu, nimejaribu kutoa picha ya juu juu tu. Ila nahisi sijaenda mbali na ukweli.
Nilidhani itakuwa na gharama nafuu. Hizo ni gharama za kontena tu.
 
Wale wataalamu wa block wakuje watofautishe na Tofali itakua vema
 
Nilidhani itakuwa na gharama nafuu. Hizo ni gharama za kontena tu.
Sina hakika sana.. nimeona hiyo picha nika mu uliza mtu akanitajia hizo namba. Nimezitaja ili nione kama kuna mtu atakuja na namba tofauti, ili tupate kujua zaidi
 
Hata kama wangekuwa wanauza container milioni 3 moja, gharama yake nu bora upige tofali tu!
Ila hilo ni ghorofa.. msingi wa ghorofa huwa una kula zaidi ukijumlisha na kiuno chake kuna changa mka kidogo, bado roofing.
tofali moja ni 1100
mfuko moja wa sement 13500
mfuko mmoja unaunganisha tofali 60
fundi ujenzi unamlipa 300 kujenga tofali moja

ujenzi ni simple
 
Back
Top Bottom