Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma!
Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma !
Natanguliza shukrabi zangu na Mwenye enzi Mungu awabariki!
Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma!
Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma !
Natanguliza shukrabi zangu na Mwenye enzi Mungu awabariki!
Asante ndugu! Shukrani kwa taarifaNenda MAK IVF centre,ni center mpya na wako vzr sn, mmliki ni mtanzania na kuna madaktari huwa wanatoka india kwa ajili ya kushirikiana naye.Wako mbezi beach....+255222617830/0756889961.Web www.makivf.co.tz. unaweza ukawasiliana nao kwa maelezo zaidi.Pole sn mkuu!
wacha weeh!Mimi mbona hiyo huduma natoa bure jamani?....ila mradi uwe msafi na unanukia vizuri!
wacha weeh!
?Hiyo hospital ya mikocheni mnamaanisha kairuki
Dar fertility centre wanajiitaHiyo hospital ya mikocheni mnamaanisha kairuki
Samahani mkuu naweza kuja pm nikuulize Jambo binafsi kuhusu hawa Dar IVFDar fertility centre wanajiita
Ila hawako accurate kiviiile halafu hela ndefuuu
Mfano tulipandikiza 29 tukakapata 9
Najaribu kuku- pm nashindwa mkuuDar fertility centre wanajiita
Ila hawako accurate kiviiile halafu hela ndefuuu
Mfano tulipandikiza 29 tukakapata 9
Gharama shs ngapi???Dar fertility centre wanajiita
Ila hawako accurate kiviiile halafu hela ndefuuu
Mfano tulipandikiza 29 tukakapata 9
Vipi ulishafanikiwa na ulifanyia wapi?Nawashukuru wote kwa ushauri na maoni yenu Mungu awabariki sana!
Hata wale wenye utani pia asanteni sana!
Niseme kidogo kwa wenye mitazamo tofauti sio kwamba nimependa kufanya hivi la hasha! Na sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu na ni mzima kbs hana tatizo la uzazi akatamani kufanya hivi!