Gharama za kupandikiza mtoto/mimba

Gharama za kupandikiza mtoto/mimba

Alipata

Frozen transfer ni embryo zao waligandisha (hifadhi) ...... then wakaende kurudishia
ok hyu wangu ilikuwa shida sana kwa sababu ya umri wake mkubwa yaani nimejifunza sana maisha yaani tuzae tu mapema yaani
 
ok hyu wangu ilikuwa shida sana kwa sababu ya umri wake mkubwa yaani nimejifunza sana maisha yaani tuzae tu mapema yaani
Duh bora kafanikiwa

Kuzaa mapema kuna raha yake (ila wakuzaa nae sasa...maana vimeo vingi mjini hapa)
 
Kuna mtu alileta tangazo kule jukwaa la magonjwa kuhusu hiyo huduma tz......

Nadhani hospitali ipo sijui mbezi???? Katafute huo uzi

Pia kuna womens clinic mitaa ya mikocheni kama sikosei(nahisi karibu na baraka plaza kuna kibao)

Kwenye ule uzi gharama sijui ilikuwa $10,000??????? (Sina hakika, utafute)
Badili tabia? Asante kwa maelezo mazuri na ushauri pia!
 
Nina jirani yangu lecturer wa chuo fulani yeye baada ya ndoa walikaa muda mrefu sana bila kupata mtoto. Wakaenda Marekani na mke akarudi na mimba na sasa mtoto wao mkubwa tu na kafanana na baba yake. Kiufupi walikwenda kupandikiza. Sio huyo wapo wengi tu wa kimyakimya. Ila ni baada ya kuhangaika sana ndipo wakashauriwa na Dr.
Ushauri wangu tafuta Dr./ gynecologist atakushauri vizuri wapi na gharama.
Asante! Nilishamuona dokta na hiyo njia ni mojawapo ya ushauri alinipa!
 
kuna mbezi beach kuna mikocheni ! mikocheni pale wapo vizuri zaidi millioni yako 20 mkuu njoo pm
Asante kwa maelezo mazuri na ushauri!dr aliyenipa huo ushauri niliona kama anawasifia hawa wa mikocheni kuwa wako vizuri!
 
Nina shaka na kiwango chako cha elimu ya dunia na kiroho. Pia kama una mke na watoto wakubwa usiwaonyeshe comments zako, WATAKUDHARAU SANA.
Kwahiyo binadamu aliyezaliwa kwa kupandikizwa hana nafasi mbele za Mungu.

Halafu ninahisi una tatizo la upumuaji kupitia puani hivyo mara nyingi unaachama mdomo kupata hewa. Hivyo kusababisha ubongo usipate oxygen ya kutosha.
BISHA!!

Tafuta ujue kwanza nini maana yakupandikizwa na hufanyikaje na kwanini.
Bora umemjibu ww. kuna watu wanajikweza utadhani wao ndo wasaidizi wa Mungu ktk utendaji wake hata neno la Mungu hawalijui. Kwenye biblia Mungu mwenyewe alisema kupitia nabii kuwa siku za mwisho maarifa yataongezeka
 
Mm najua huduma hyo kuna hosp NRB hapo kenya wanatoa huduma hzo ila hapa kwetu sijasikia. Ila nimepata shida kwa baadhi ya vituo vilivyotajwa na baadhi ya wachangiaji sijaona hosp yyt kubwa hapo au hawajaelewa vzr kinachoongelewa??
 
weee south uliza bei yake mpendwa ipo juu sana
South sio bei kihivyo.

Nimemuuliza mdau leo.

Yeye alilipa 50,000 rand kwa the whole procedures....

Ingawa vipimo vya awali navyo mnalipia (wanashauri muende partners maana wanapimwa hormones, hiv, homa ya ini, etc etc)

Kuna baadhi ya dawa atalipia but ni cheap haifiki hata rand 5000.....

Ila akienda cape town itapungua kidogo anadai.

Alikaa sa kwa siju 52 the whole procedure ikawa imeisha (including blood test for pregnancy)

Bado namshauri ajikusanye aende SA
 
South sio bei kihivyo.

Nimemuuliza mdau leo.

Yeye alilipa 50,000 rand kwa the whole procedures....

Ingawa vipimo vya awali navyo mnalipia (wanashauri muende partners maana wanapimwa hormones, hiv, homa ya ini, etc etc)

Kuna baadhi ya dawa atalipia but ni cheap haifiki hata rand 5000.....

Ila akienda cape town itapungua kidogo anadai.

Alikaa sa kwa siju 52 the whole procedure ikawa imeisha (including blood test for pregnancy)

Bado namshauri ajikusanye aende SA
Naendelea kukushuru,wacha tushauriane na mwenzangu tufikie muafaka!
 
Nenda Agakhan hospital, kuna mama namjua alipata mapacha kwa mkupuo
 
Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma!

Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma !

Natanguliza shukrabi zangu na Mwenye enzi Mungu awabariki!
Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Back
Top Bottom