Gharama za kupandikiza mtoto/mimba

Gharama za kupandikiza mtoto/mimba

Nje inaweza ikawa gharama lakini huduma nzuri.

Kufanikiwa wanaweza kufanikiwa ila mtaka huduma achunguze success rate yao ikoje na aangalie mfuko wake

Halafu; Namfahamu mtu alifanya moja ya hospitali ........ aliumwa yule dada hana hamu (those days walifanya egg retrival kavukavu bila ganzi..........) baada ya siku 3 kurudi aliambiwa anywe maji mengi....mdada alihofia kupata ohss ila wahusika waaalaaaaaaa....
hata huko nje kuna kufail pia sio kote kunafanikiwa . aangalie umri wake pia ohooo
 
hadi ulaya au south Africa Tanzania hakuna utaalamu huo
 
sio kweli bongo wanafanya vizuri tu nimeona mtua aliefanikiwa .huko nje gharama kubwa sana jamani hapa bongo m 20
Sa nadhani itarange kati ya rand 40,000- 50,000 (kama atafanya icsi gharama itaongezeka)...cape town ndio cheapest na joberg ni expensive

Gharama itakuwa nauli.
Hoteli baadhi wanashirikiana na hospitali hivyo anaweza kupata unafuu kidogo.

Ila wenzetu wapo serious.....
Na vipimo vya uhakika

All in all inategemea na mfuko wake
 
hata huko nje kuna kufail pia sio kote kunafanikiwa . aangalie umri wake pia ohooo
Kufali kupo ila aangalie huduma bora

Kikubwa mfuko wake.....


(Mie baada ya yule dada kuwa anatembea kama bata nacheka kama mzuri sijui kwa nini sina imani sana na hospitali zetu)

Cha msingi afanye utafiti achague pa kumfaa
 
Kufali kupo ila aangalie huduma bora

Kikubwa mfuko wake.....


(Mie baada ya yule dada kuwa anatembea kama bata nacheka kama mzuri sijui kwa nini sina imani sana na hospitali zetu)

Cha msingi afanye utafiti achague pa kumfaa
ahahaaa wanachokonoa balaa nasikia kuna mama mmoja boss wangu yaani cha moto alikiona ila thank God she is pregnant now with twins! nasubiria kulea hapa
 
Du Milioni 20??? Kweli wanapiga hela ndefu sana kupitia matatizo ya watu,Ni kweli mtu ukiwa desparate na kama unazo hata m100 utatoa,ningeomba wapunguza iwe hata milioni 3 watu wengi wangeenda ila 20m wataenda vibopa na vigogo.
 
Nina jirani yangu lecturer wa chuo fulani yeye baada ya ndoa walikaa muda mrefu sana bila kupata mtoto. Wakaenda Marekani na mke akarudi na mimba na sasa mtoto wao mkubwa tu na kafanana na baba yake. Kiufupi walikwenda kupandikiza. Sio huyo wapo wengi tu wa kimyakimya. Ila ni baada ya kuhangaika sana ndipo wakashauriwa na Dr.
Ushauri wangu tafuta Dr./ gynecologist atakushauri vizuri wapi na gharama.
Jirani yako namjua. Ni muhaya lecturer wa UD sijui kastaafu? Wana watoto watatu wote wa kiume
 
Du Milioni 20??? Kweli wanapiga hela ndefu sana kupitia matatizo ya watu,Ni kweli mtu ukiwa desparate na kama unazo hata m100 utatoa,ningeomba wapunguza iwe hata milioni 3 watu wengi wangeenda ila 20m wataenda vibopa na vigogo.
tena hapo mkuu sijaanzia kwenye machek up ya awali madolar kadhaaa tuseme m 30 hivi
 
ahahaaa wanachokonoa balaa nasikia kuna mama mmoja boss wangu yaani cha moto alikiona ila thank God she is pregnant now with twins! nasubiria kulea hapa
Hahahah kama alifanya kwa dr mganda??? (Hapa nimehifadhi jina loh) mikocheni na karibuni abadilike aisee

Utafanyaje egg retrival bila ganzi (ila kibongobongo kila kitu unatwangwa kavu kavu haishangazi..... hata kujifungua ukishonwa mwendo wa kavu kavu tu ) halafu hapo umetoa 20 m zako.......

Nimeona hapo juu umesema followup ni zaidi ya mara 5 kwa nini wanafanya hivyo?

Nimemuuliza mdau huku alifanya sa alisema as long as upo vizuri kwenye cycle na vipimo vipo ok unaweza anza tiba mara moja..... au ukaenda mara 2 tu kama cycle haipo sawa
 
tena hapo mkuu sijaanzia kwenye machek up ya awali madolar kadhaaa tuseme m 30 hivi
Sasa 30 m si bora aende SA tu????? Na chenji inaweza rudi


Ninachoona wamechukua gharama zooote including hoteli na taxi wamezijumuisha
 
ahahaaa wanachokonoa balaa nasikia kuna mama mmoja boss wangu yaani cha moto alikiona ila thank God she is pregnant now with twins! nasubiria kulea hapa
Ujiandae kupeleka pampaz

Mungu amsaidie ajifungue salama
 
Hahahah kama alifanya kwa dr mganda??? (Hapa nimehifadhi jina loh) mikocheni na karibuni abadilike aisee

Utafanyaje egg retrival bila ganzi (ila kibongobongo kila kitu unatwangwa kavu kavu haishangazi..... hata kujifungua ukishonwa mwendo wa kavu kavu tu ) halafu hapo umetoa 20 m zako.......

Nimeona hapo juu umesema followup ni zaidi ya mara 5 kwa nini wanafanya hivyo?

Nimemuuliza mdau huku alifanya sa alisema as long as upo vizuri kwenye cycle na vipimo vipo ok unaweza anza tiba mara moja..... au ukaenda mara 2 tu kama cycle haipo sawa
follow up inakuwa mara nyingi kutokana na mtu na mtu . kuna dawa unapewa awali za kutoa mayai ,kutayarisha uterus etc kama zikikukubali haraka the better wengine inachukua muda .halafu pia kumbuka tatizo linaweza kuwa ni la mwanaume so hapo nadhani hakuna follow up ni kuweka tu inatofautiana
 
Back
Top Bottom