BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 846
- 253
Wanabodi. Mimi ninajiingiza kwenye kilimo cha trakta huku Mkuranga maeneo ya Kimanzichana (kuna bonde zuri la Mpunga). Nimeagiza trakta kutoka nje. Napenda kama kuna mtu anajua gharama zinazopaswa kulipia TRA pindi linapofika hapa Bandarini Dar. Trakta imetumika ya mwaka 1999.