KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kwanza kutakuwa na upotevu mkubwa wa fedha wakati wa handover.
Pili, semina elekezi-Ngurudoto itakula tena kwetu.
Tatu, sherehe za kuwakaribisha mawaziri wapya wizarani na kusukuma magari yao kama ilivyokuwa kwa Jairo, hazikwepeki
Nne, ofisi na nyumba za mawaziri wapya kukarabatiwa upya.
Tano,Mafao ya mawaziri watakaojiudhuru, mfano waziri mkuu wa sasa lazima apewe ulinzi na gari la kwendea sokoni.
Sita, sherehe za kuwaapisha mawaziri ikulu ndogo Dodoma,pesa zitatafunwa.
Saba??
Afadhali waendelee hawahawa aisee, 2015 sio mbali.
Pili, semina elekezi-Ngurudoto itakula tena kwetu.
Tatu, sherehe za kuwakaribisha mawaziri wapya wizarani na kusukuma magari yao kama ilivyokuwa kwa Jairo, hazikwepeki
Nne, ofisi na nyumba za mawaziri wapya kukarabatiwa upya.
Tano,Mafao ya mawaziri watakaojiudhuru, mfano waziri mkuu wa sasa lazima apewe ulinzi na gari la kwendea sokoni.
Sita, sherehe za kuwaapisha mawaziri ikulu ndogo Dodoma,pesa zitatafunwa.
Saba??
Afadhali waendelee hawahawa aisee, 2015 sio mbali.