matabwamatabwa
Member
- Jan 30, 2015
- 6
- 4
naomba mwenye ufahamu wa gharama za
kozi ya urubani zinazotolewa pale United
Tanzania Aeronautics College
(www.utac.ac.tz) - Airport Dar es salaam .
Ktk matangazo yaliyo kwenye website
hawajaainisha gharama za masomo
hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani
evining classes, ili nikachukue form Tsh
50,000 mara moja kabla sijachelewa.
Mwenye kufahamu naomba anijulishe
kozi ya urubani zinazotolewa pale United
Tanzania Aeronautics College
(www.utac.ac.tz) - Airport Dar es salaam .
Ktk matangazo yaliyo kwenye website
hawajaainisha gharama za masomo
hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani
evining classes, ili nikachukue form Tsh
50,000 mara moja kabla sijachelewa.
Mwenye kufahamu naomba anijulishe