Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,109
- 14,063
Mpaka sasa nimetumia 133,000/= kwa ajili ya vipimo. Na kuna kipimo ki1 nimeacha sababu ya kukosa pesa. Nina maumivu mgongoni. Kuanzia usawa wa mbavu kuja juu.
Nimekuja kumwona dr baada ya kumpa maelezo kaniandikia kufanya vipimo vya ultrasound, xray, na vipimo v3 vingine kutoka kwenye damu. Ambavyo ni kwa ajili ya kuangalia mafuta. Yaani chollestral. Nimeacha kufanya xray ambayo nitaifanya j3.
Dah gharama za matibabu ni kubwa. Ambao hamjaajiriwa kama mimi, bima ya afya ni muhimu. Tujitahidi kuwa nayo itakusaidia kwa kweli.
Nimekuja kumwona dr baada ya kumpa maelezo kaniandikia kufanya vipimo vya ultrasound, xray, na vipimo v3 vingine kutoka kwenye damu. Ambavyo ni kwa ajili ya kuangalia mafuta. Yaani chollestral. Nimeacha kufanya xray ambayo nitaifanya j3.
Dah gharama za matibabu ni kubwa. Ambao hamjaajiriwa kama mimi, bima ya afya ni muhimu. Tujitahidi kuwa nayo itakusaidia kwa kweli.