Gharama za bandarini zinakuaje?

sajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
2,996
5,213
napenda kufahamu kama nikinunua gari japan,lenye engine ya mwaka 2000,na cc 2000 kwa gharama ya sh milioni 6,500,000/- mpaka kulifikisha dar es salaam harbour,nitachajiwa sh ngapi na tra/serikali mpaka nilitoe bandarini?na process hua inachukua siku ngapi kulitoa bandarini?kwa anaejua anisaidie
 
napenda kufahamu kama nikinunua gari japan,lenye engine ya mwaka 2000,na cc 2000 kwa gharama ya sh milioni 6,500,000/- mpaka kulifikisha dar es salaam harbour,nitachajiwa sh ngapi na tra/serikali mpaka nilitoe bandarini?na process hua inachukua siku ngapi kulitoa bandarini?kwa anaejua anisaidie

Namie nauliza swali kama lako, wana JF tunaomba mtusaidie gharama zitakuaje hapo.
 
Tembelea mtandao wa TRA kuna formula, ukiewatembelea ofisini watakuelekeza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom