sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 2,996
- 5,213
napenda kufahamu kama nikinunua gari japan,lenye engine ya mwaka 2000,na cc 2000 kwa gharama ya sh milioni 6,500,000/- mpaka kulifikisha dar es salaam harbour,nitachajiwa sh ngapi na tra/serikali mpaka nilitoe bandarini?na process hua inachukua siku ngapi kulitoa bandarini?kwa anaejua anisaidie