Gharama ya kutoa gari bandarini

Heavy equipment

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
1,446
977
Wadau habari,

Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam.
Bei iliyopo sokoni Japan ni
$ 10,659
Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi?

Type: Nisan condor
Version/class-dump truck
Engine size 6920cc
Registration 2004/9 year
Weight 4010kg.

7c1d4cc79c019983843b041f1722d136.jpg
 
Wadau habari,

Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam.
Bei iliyopo sokoni Japan ni
$ 10,659
Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi?

Type: Nisan condor
Version/class-dump truck
Engine size 6920cc
Registration 2004/9 year
Weight 4010kg.

7c1d4cc79c019983843b041f1722d136.jpg
Nicheki au nipm nikuelekeze
 
Wadau habari,

Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam.
Bei iliyopo sokoni Japan ni
$ 10,659
Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi?

Type: Nisan condor
Version/class-dump truck
Engine size 6920cc
Registration 2004/9 year
Weight 4010kg.

7c1d4cc79c019983843b041f1722d136.jpg
Ili kujua gharama halisi ya kulipia ili gari liweze kuingia kuna kikokoteo cha TRA ingia kuna website ya TRA. Bei ya gari pekee haiwezi kuwa determinant ya gharama za ushuru wa kuingiza gari. Hivyo ni vizuri ukatumia hiyo formula ya TRA yenyewe unaingiza data kisha inakupa jumla ya kiasi unachopaswa kulipia.
 
Back
Top Bottom