Sputam
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 600
- 390
Salaam wakuu?
Kuna gari nimeagiza litafika bandarini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi huu, nimeangalia gharama ya kodi (TRA) itakuwa kwenye 7.1M Tsh.
Sasa nataka kujua gharama zingine ni zipi na zinaweza kuwa Sh ngapi kwa makadrlio?Ukiacha ile gharama kumlipa agent. Gari ni Toyota Harrier 1998.
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna gari nimeagiza litafika bandarini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi huu, nimeangalia gharama ya kodi (TRA) itakuwa kwenye 7.1M Tsh.
Sasa nataka kujua gharama zingine ni zipi na zinaweza kuwa Sh ngapi kwa makadrlio?Ukiacha ile gharama kumlipa agent. Gari ni Toyota Harrier 1998.
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app