enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,110
- 3,673
*****, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kua umemuulizia Harmorapa,Keisha,Dudubaya,Makamua na Bendi ya
TOT bei zako ni hizi mkuu;
Harmorapa ni Tsh.150,000
Keisha ni Tsh.300,000
Makamua ni Tsh.140,000
Bendi ya TOT ni Tsh.500,000 ila hawa wafanyie booking mapema maana soon watakua wanazunguka kwny kampeni za CCM/uchaguzi.
Dudubaya ni Tsh.70,000 na mizinga miwili ya Konyagi
Harusi njema mkuu.