JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,967
- Thread starter
- #21
Kumbe kina kirefu.Diamond zaman kidogo ilikua 30M ,kwa sasa sijajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kina kirefu.Diamond zaman kidogo ilikua 30M ,kwa sasa sijajua
Asante sana.Diamond andaa milioni 40 ile ki shkaji mtafute babu tale akuombee alikiba hadi milioni 10 anakuja harmonise hata milioni 20 anakuja mtafute mjerumani instgram atakufanyia mchakato
Asante kwa ushauri.Mchukue Ruby mkuu, sherehe yako itapendeza sana, na haitakuwa na vurugu.
Yule binti anajua kuimba sana.
Ukiwachukua diamond, alikiba watu watasahau kama sherehe ni yenu. Kwa kifupi watawapuuza maharusi.
Mradi mimi natoza kiingilio.Diamond hana nyimbo za harusi.
Labda kama unataka kudhalilika hapo harusini.
Ukiambiwa, "Inama Kidogo Shika Magoti, Mimi Nimesimama Kama Ngongoti ......
Au Nyimbo Kama "Twende Nikupigd Nyembe
Sasa kama lengo lako ni biashara kwanini usiwe tu Promoter ijulikane moja ?
Mzee umedadavua kama menejaKwa kua umemuulizia Harmorapa,Keisha,Dudubaya,Makamua na Bendi ya
TOT bei zako ni hizi mkuu;
Harmorapa ni Tsh.150,000
Keisha ni Tsh.300,000
Makamua ni Tsh.140,000
Bendi ya TOT ni Tsh.500,000 ila hawa wafanyie booking mapema maana soon watakua wanazunguka kwny kampeni za CCM/uchaguzi.
Dudubaya ni Tsh.70,000 na mizinga miwili ya Konyagi
Harusi njema mkuu.
Hahah mimi ni dalali wao mkuu.Mzee umedadavua kama meneja
Diamond si chini ya 10M.Nataka niwalete kwa gharama ile ile wanayolipwa kwa ajili ya show.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu nao ni ushauri mzuri.Sasa kama lengo lako ni biashara kwanini usiwe tu Promoter ijulikane moja ?
wewe si mfatiliaji wa mziki wa diamond, ndio kitu nimegundua, Na iyena ya diamond ft rayvany ni wimbo wa msibaDiamond hana nyimbo za harusi.
Labda kama unataka kudhalilika hapo harusini.
Ukiambiwa, "Inama Kidogo Shika Magoti, Mimi Nimesimama Kama Ngongoti ......
Au Nyimbo Kama "Twende Nikupigd Nyembe
Mkuu nipe bei yake ya show.wewe si mfatiliaji wa mziki wa diamond, ndio kitu nimegundua, Na iyena ya diamond ft rayvany ni wimbo wa msiba
Mimi kama meneja wa diamond una mil 30 hapo siku yoyote tunakuja chap! Tutapiga jeje,baira,lala salama n.kNataka niwalete kwa gharama ile ile wanayolipwa kwa ajili ya show.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauna haja ya kuangaika huku jamii forum, nenda Instagram kwenye page ya sallam sk meneja wa diamond kule utakutana na maelekezo jinsi ya kumbook diamond kupitia meneja wake huyo gharama na kila kitu
Asante mkuu. Hivi Manager wake ni Tale au?Hauna haja ya kuangaika huku jamii forum, nenda Instagram kwenye page ya sallam sk meneja wa diamond kule utakutana na maelekezo jinsi ya kumbook diamond kupitia meneja wake huyo gharama na kila kitu
Kupitia kwenye bio ya sallam utaweza kuwasiliana nae moja kwa moja na mtafikia makubaliano kuliko kupoteza muda wako huku
Basi inatisha.Miezi miwili nyuma erick shigongo alipost walaka mmoja akimtaka diamond apunguze gharama za malipo yake kwenye show erick shigongo alisema kwamba alimtaka diamond atumbuize kwenye sherehe za mwaka mpya pale DAR LIVE ila bei aliyotajiwa ikamfanya shigongo aludi nyumbani akalale mameneja wa diamond walimtaka shigongo alipe milioni 80 kwa usiku mmoja kitu ambacho shigongo alikishindwa na ndomaana siku unaona diamond show zote anazofanya bongo ni zile ambazo zipo chini yake yey mwenyew maan Hakuna mtu wakulipa 80M
Nipe Bank account yako.Mimi kama meneja wa diamond una mil 30 hapo siku yoyote tunakuja chap! Tutapiga jeje,baira,lala salama n.k
Tale, sallam sk na mkubwa fella