Gharama ya kukodi bulldozer

Gharama ya kukodi bulldozer

Apo vigwaza mbona yako mengi sana,nenda pale wanapoyalaza pale center,ongea na madereva,unamtoa ya mafuta,na posho yake,anakua anakipigia kazi usiku kwa usiku
 
Kabisa kuna jamaa mmja tuko hapo kunduchi smbdy ntez ana mashine kama 7 za kuungaunga
Lkn znakodishwa
Hao walizozifungia ndan utakuta hawajichanganyi,zunguka matabata dampo
Jenga urafiki na ma OP hapo kazi zitakujiaa kama mvuaaa

Ova
Unajua Nteze Mzee wa kokoto ametokea wapi Hadi kuwa ni hizo mashine?!!..long time kitambo kutoka udalali Hadi kuwa na mashine siyo Jambo dogo aisee
 
1,gharama ya mwenye chombo ni laki kwa saa,
2, je hujawahi kuona yale magari yanayobeba vijiko,matrekta au bulldoza barabarani?,
3,nenda manispaa au uliza mtu aliyepo morogoro!
Yanaitwa lowbed na yanasafirisha kwa kibali maalum toka TANROAD na mwisho wa kutembea ni saa 12 jioni.. Kibali kinalipiwa na kinaombwa siku moja kabla na sometimes kuna escort inatakiwa
 
Full sheet ya total cost kukodi bulldozer
Kwa siku ni laki 8 mpaka 1.5M kulingana na ukubwa na ubora wa mashine
Mafuta ni kati ya kati ya laki 4 mpaka 5 kulingana na ukubwa wa mashine na bei ya mafuta
Kibali cha kusafirisha ni kama laki 1
Lowbed ni kuanzia laki 6 town trip mpaka milion 3 kulingana na umbali. Hiyo weka mara 2 kwenda na kurudi
Operator ni elfu 50 kwa siku masaa 8
Kama kuna masaa ya ziada ni OT kwa dereva na mashine
 
Wakuu
Hii kazi inahitaji Subra sana
Kama unapata hela za maana ...ni bora ununue hizi mashine na ufanye kazi zako mwenyewe huku ukizikodisha kwa Watu wengine
 
Wakuu
Hii kazi inahitaji Subra sana
Kama unapata hela za maana ...ni bora ununue hizi mashine na ufanye kazi zako mwenyewe huku ukizikodisha kwa Watu wengine
Komatsu D4 35 millions tsh

20210725_090925.jpg


F5379A.jpeg
 
Back
Top Bottom