Gharama ya kukodi bulldozer

Gharama ya kukodi bulldozer

Kumbe hayana ghalama sana
Gharama si kubwa sana...ukilinganisha na kuwakodi watu wafyeke msitu..wachome...watoe visiki..vikiambatana na usumbufu nk

Ni bora haya Mabuldoza
images-38.jpg
 
Lazima ibebwe na loadbed hapo kna gharama yakuibeba kuipeleka site na kuna gharama ya kuirudisha site na gharama zote ni juu yake
Hapo ana gharama kumlipa OP,gharama ya mafuta pia juu yake

Ova
Ok
 
1,Gharama kwa saa wengi wao wanatoza 100,000/- kwa saa moja, hivyo itategemea kwa siku limefanyakazi kwa masaa mangapi.

2, Diesel kwa wastan ni lita 160-200 kwa masaa nane lakini pia itategemea ugumu wa hiyo kazi na ulaji wa mafuta wa chombo chenyewe au dereva

3, Operator utamlipa 50k kwa wastani kwa siku/saa 8

4,Gharama za kulichukua na kulirudisha ni zako hivyo mtaelewana na mwenye chombo/kampuni na inategemea na mahala unapolitoa na kulipeleka.
Ndani ya lisaa lina uwezo wa kusafisha hekari ngapi
 
Wana Jamvi

Nawatakia furaha ya kudumu katika maisha yenu.

Naomba kujua bei ya kukodi Buldozer kwa ajili ya kusafishiwa eneo langu....na kwa siku lina kula mafuta(Diesel)kiasi gani?!

Shukran sana

Mbarikiwe
Ninayo
D 4
Komatsu
+255714908121
450000 per Day
Mafuta na Operator juu yako
Tupo Makumbusho Dar es salaam
Karibu sana

Polish_20210725_094412702.jpg


Polish_20210725_094549543.jpg
 
Mashine nyingi hufanya kazi masaa 8 kwa siku
100,000×8
Hapo labda useme naye vzr mwenye mashine akupunfuzie masaa
Gharama ya disel,OP,ubebaji kulitudisha juu yako

Ova
Hivi mrangi vipi una idea biashara ya kukodisha vitu kama Vijiko, backhoe loader, excavators nk ikoje? Inalipa sehemu kama Dar? Kuna ushindani sana? Mshana Jr saidia na wewe kama unajua please!

1627304547758.png


1627304470904.png
 
Hivi mrangi vipi una idea biashara ya kukodisha vitu kama Vijiko, backhoe loader, excavators nk ikoje? Inalipa sehemu kama Dar? Kuna ushindani sana?

View attachment 1869072

View attachment 1869071
Nna na idea na kwa morogoro
Maana kna harakati fulani nawakodi
Jamaa na kna wakati ukiwakodi utakuta
Mashine zishabukiwa
Biashara hii inawalipa sana,sema umakini tu kwenye usimamizi na utunzaji wa mashine
Hata kwa dar pia,miradi mingi inayofanyika wnakodi mashine mbali mbali

Ova
 
Nna na idea na kwa morogoro
Maana kna harakati fulani nawakodi
Jamaa na kna wakati ukiwakodi utakuta
Mashine zishabukiwa
Biashara hii inawalipa sana,sema umakini tu kwenye usimamizi na utunzaji wa mashine
Hata kwa dar pia,miradi mingi inayofanyika wnakodi mashine mbali mbali

Ova
Asante sana mkuu.
 
mkuu inategemea na eneo jinsi lilivyo au kutokana na uchafu uliopo,
mwaka jana nilikodisha kusafisha shamba lenye maotea ya mkonge/sosolana kuna baadhi ya maeneo yenye miti na vichaka vikubwa ilikuwa inapiga heka tatu tu kwa siku, sehemu nyingine heka 7-8 kwa siku, na kuna sehemu ilikuwa na tope ilipiga heka 1½ kwa siku, la mhimu ni kutafuta mtaalamu acheki hilo eneo kwanza akupe hesabu kamili ili ujipange, yasije kukuta ya kwangu baada ya pumzi kukatikia njiani na kurudisha dude la watu!
 
Back
Top Bottom