Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Wana Jamvi
Nawatakia furaha ya kudumu katika maisha yenu.
Naomba kujua bei ya kukodi Buldozer kwa ajili ya kusafishiwa eneo langu....na kwa siku lina kula mafuta(Diesel)kiasi gani?!
Shukran sana
Mbarikiwe
Nawatakia furaha ya kudumu katika maisha yenu.
Naomba kujua bei ya kukodi Buldozer kwa ajili ya kusafishiwa eneo langu....na kwa siku lina kula mafuta(Diesel)kiasi gani?!
Shukran sana
Mbarikiwe