Kurahisisha mjadala taja nchi 10 huduma za afya ni Bure , au ni chini ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwaKodi yangu isingekuwa haitoshi ma V8 yasingekuwapo.
Kurahisisha mjadala taja nchi 10 huduma za afya ni Bure , au ni chini ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwaKodi yangu isingekuwa haitoshi ma V8 yasingekuwapo.
Haya si ndiyo Yale ya bando kwetu kuwa bei nafuu bila kulinganisha mapato, kodi, tozo Wala matumizi ya anasa ya watu?Kurahisisha mjadala taja nchi huduma za afya ni Bure , au ni chicken ni ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwa
Izo ni Kodi au watu wameibiwa kwa bargain?Ukawasalimie wamarekani badala ya kuwawajibisha wezi wanaojulikana?
View attachment 2518469
Na hata hizi muziki utakuwa huo huo.
Maswali yanguHaya si ndiyo Yale ya bando kwetu kuwa bei nafuu bila kulinganisha mapato, kodi, tozo Wala matumizi ya anasa ya watu?
Kwa nini ni vigumu kufahamu kulikoni gharama hizi za MRI, CT scan, dialysis, operation nk, huku bajeti za ma trillion zikiwa zimeelekezwa huku huku tokea kwenye kodi na tozo.
Kwa mawazo yako zilizoishia huko ni za plea bargain tu? Kwani wewe ndiye uliyekuwa ukizipeleka huko?Izo ni Kodi au watu wameibiwa kwa bargain?
Maswali yangu
Kurahisisha mjadala taja nchi 10 huduma za afya ni Bure , au ni chini ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwa
Acha porojo dogo. Kakate Bima ya Afya. Dunia nzima bei za matibau ziko juu. Nitajie nchi ambayo ukifanyiwa oparesheni kubwa unalipa buku au buku ten. Unafikiri Wazungu walikuwa wajinga kutumia Bima za Afya? Wanajua!!
Kaa na mburura wenzako akina babaako na mamaako waendelee kukudanganya eti bei ziko juu, bei ziku juu! Nenda kwa waganga wa kienyeji! PUMBAVU!!!!
Ukiona kitu Cha Bure juwa kuna watu wamekulipiaNa ukiona kuna majengo ya hospitali, vifaa, majengo, dawa nk huku ukichagizwa ulipe Kodi na tozo maana yake nini?
Ukiona kitu Cha Bure juwa kuna watu wamekulipia
There is no Free service
Mjomba Unaishi Masaki nini?Mkuu unajua dialyser moja ina cost kiasi gani?
Zile chemical je ? Ujuuzi na utaalamu wa wafanyakazi wa hospital husika, fee ya consultations?
Usiseme unapigwa , kimahesabu hospital nyingi bado zinarun kwa hasara
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kweli hasa pale wanapotoa hoja kuntu na wakubwa wakakosa majibu.Mada kama hizi watoto wa shule hukaa kimya!
Hapana hasa wanapokuwa ni wachafu na wenye kutoa harufu kaliKweli hasa pale wanapotoa hoja kuntu na wakubwa wakakosa majibu.
Ahahahahah! Wazee wenye hoja dhaifu hamtakiwi humu. Na mkileta hoja mbovu mbovu sisi Watoto wa Shule tutawashughulikia.Hapana hasa wanapokuwa ni wachafu na wenye kutoa harufu kali
CT scan, MRI na Kufanya Dialysis ni gharama kubwa.Uholela unakuja kwa kutojua kinachopelekea gharama za MRI, CT scan, Dialysis nk kuwa bei tunazoambiwa:
View attachment 2518434
Uholela mwingi ndiyo unayopelekea haya.
Haijali nani analipa iwe bima au binafsi kwa mtu mmoja kufilisika ni lazima.
Wewe huoni hivyo ndugu?
Au unasema kwa vile hayajakukuta?
CT scan, MRI na Kufanya Dialysis ni gharama kubwa.
Unless kama serikali itakuja kuweka Ruzuku kwenye hivyo vipimo au ifanye viwe bure.
Kwasasa Dialysis ni Tsh 300,000 na mwathirika anatakiwa kufanyiwa kwa mwezi Mara 2.
Unadhani wakisema iwe laki moja, hiyo ni pesa ndogo??
Mapendekezo ili gharama ziwe ndogo zinatakiwa kuwa kiasi gani?Mkuu dialysis ni angalau mara 2 kwa week tafadhali angalia rejea zako kujiridhisha.
Kwamba ni ghali na kwamba iweje?
Kwanini gharama kamili isitathiniwe yaani umeme, madawa, machela, maji, labor nk badala ya ujanja ujanja wa kuuziana mbuzi kwenye gunia?
Su kuwa gharama hizi zimekuwa hivi kwa sababu mtu asipofanyiwa atakufa? Yaani ni check mate kwenye lugha ya chess?
Bei hizo ni muhimu zikazingatia mchango wa wawekezaji kwenye hospitali za umma watu kama wadau.
Hauoni mustakabala haki inawezekana kufikiwa Kwa kuhusisha wadau wote?
Mumeambiwa jiungeni na bima ya Afya hamtaki,msitupigie keleleImekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.
Nani anayepanga bei hizi na kwa vigezo gani?
Je, ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?
Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?
Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
Unataka kupokea Bure ? Tafuta pesa usitegemee nikulipie na Kodi yanguEmergency tu kupokelewa 20,000/50,000 bila hiyo hutibiwi mgonjwa wako atabaki anaangaliwa tu.
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Isije kuwa anayetupigia kelele ni weweMumeambiwa jiungeni na bima ya Afya hamtaki,msitupigie kelele