Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Kurahisisha mjadala taja nchi huduma za afya ni Bure , au ni chicken ni ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwa
Haya si ndiyo Yale ya bando kwetu kuwa bei nafuu bila kulinganisha mapato, kodi, tozo Wala matumizi ya anasa ya watu?

Kwa nini ni vigumu kufahamu kulikoni gharama hizi za MRI, CT scan, dialysis, operation nk, huku bajeti za ma trillion zikiwa zimeelekezwa huku huku tokea kwenye kodi na tozo.
 
Haya si ndiyo Yale ya bando kwetu kuwa bei nafuu bila kulinganisha mapato, kodi, tozo Wala matumizi ya anasa ya watu?

Kwa nini ni vigumu kufahamu kulikoni gharama hizi za MRI, CT scan, dialysis, operation nk, huku bajeti za ma trillion zikiwa zimeelekezwa huku huku tokea kwenye kodi na tozo.
Maswali yangu
Kurahisisha mjadala taja nchi 10 huduma za afya ni Bure , au ni chini ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwa
 
Maswali yangu
Kurahisisha mjadala taja nchi 10 huduma za afya ni Bure , au ni chini ya Tanzania na unitajie gharama zao kwa at least huduma kumi kubwa

"Kwa nini ni vigumu kufahamu kulikoni gharama hizi za MRI, CT scan, dialysis, operation nk, huku bajeti za ma trillion zikiwa zimeelekezwa huku huku tokea kwenye kodi na tozo?"
 
Acha porojo dogo. Kakate Bima ya Afya. Dunia nzima bei za matibau ziko juu. Nitajie nchi ambayo ukifanyiwa oparesheni kubwa unalipa buku au buku ten. Unafikiri Wazungu walikuwa wajinga kutumia Bima za Afya? Wanajua!!
Kaa na mburura wenzako akina babaako na mamaako waendelee kukudanganya eti bei ziko juu, bei ziku juu! Nenda kwa waganga wa kienyeji! PUMBAVU!!!!

Mada kama hizi watoto wa shule hukaa kimya!
 
Ukiona kitu Cha Bure juwa kuna watu wamekulipia

There is no Free service

Ukiona kuna watu wanajifanya wazalendo sana, gutuka!

FoVixEVWAAAou0r.jpeg
 
Uholela unakuja kwa kutojua kinachopelekea gharama za MRI, CT scan, Dialysis nk kuwa bei tunazoambiwa:

View attachment 2518434

Uholela mwingi ndiyo unayopelekea haya.

Haijali nani analipa iwe bima au binafsi kwa mtu mmoja kufilisika ni lazima.

Wewe huoni hivyo ndugu?

Au unasema kwa vile hayajakukuta?
CT scan, MRI na Kufanya Dialysis ni gharama kubwa.

Unless kama serikali itakuja kuweka Ruzuku kwenye hivyo vipimo au ifanye viwe bure.

Kwasasa Dialysis ni Tsh 300,000 na mwathirika anatakiwa kufanyiwa kwa mwezi Mara 8.

Unadhani wakisema iwe laki moja, hiyo ni pesa ndogo??
 
CT scan, MRI na Kufanya Dialysis ni gharama kubwa.

Unless kama serikali itakuja kuweka Ruzuku kwenye hivyo vipimo au ifanye viwe bure.

Kwasasa Dialysis ni Tsh 300,000 na mwathirika anatakiwa kufanyiwa kwa mwezi Mara 2.

Unadhani wakisema iwe laki moja, hiyo ni pesa ndogo??

Mkuu dialysis ni angalau mara 2 kwa week tafadhali angalia rejea zako kujiridhisha.

Kwamba ni ghali na kwamba iweje?

Kwanini gharama kamili isitathiniwe yaani umeme, madawa, machela, maji, labor nk badala ya ujanja ujanja wa kuuziana mbuzi kwenye gunia?

Su kuwa gharama hizi zimekuwa hivi kwa sababu mtu asipofanyiwa atakufa? Yaani ni check mate kwenye lugha ya chess?

Bei hizo ni muhimu zikazingatia mchango wa wawekezaji kwenye hospitali za umma watu kama wadau.

Hauoni mustakabala haki inawezekana kufikiwa Kwa kuhusisha wadau wote?
 
Mkuu dialysis ni angalau mara 2 kwa week tafadhali angalia rejea zako kujiridhisha.

Kwamba ni ghali na kwamba iweje?

Kwanini gharama kamili isitathiniwe yaani umeme, madawa, machela, maji, labor nk badala ya ujanja ujanja wa kuuziana mbuzi kwenye gunia?

Su kuwa gharama hizi zimekuwa hivi kwa sababu mtu asipofanyiwa atakufa? Yaani ni check mate kwenye lugha ya chess?

Bei hizo ni muhimu zikazingatia mchango wa wawekezaji kwenye hospitali za umma watu kama wadau.

Hauoni mustakabala haki inawezekana kufikiwa Kwa kuhusisha wadau wote?
Mapendekezo ili gharama ziwe ndogo zinatakiwa kuwa kiasi gani?
 
Imekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.

Nani anayepanga bei hizi na kwa vigezo gani?

Je, ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?

Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?

Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?

Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
Mumeambiwa jiungeni na bima ya Afya hamtaki,msitupigie kelele
 
Back
Top Bottom